Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 40,905
- 86,203
Oooh hapo sawa, kama ni huko Moshi , ila Kinje ,Kimbau hawa wapumzike tu Kwa Sasa muda ushawatupa mkonoKuna huyo mwingine alikuwa shoga Moshi Mjini zamani hizo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oooh hapo sawa, kama ni huko Moshi , ila Kinje ,Kimbau hawa wapumzike tu Kwa Sasa muda ushawatupa mkonoKuna huyo mwingine alikuwa shoga Moshi Mjini zamani hizo.
Kama humjui ni wewe....Umejuwaje kama ana kibamia,alisha wai kukukula!!!??
Bhaeleze watoto wa 2000's..kuna mmojahuko juu kasema Kinje ana hela kama utitiri..lol angesema zamani sawa kwanini Nitha kamuacha kisa kipi? Kaona anaendekeza umalaya no future...wakaanza kutunishiana misuli.toka serikali toka wapokonye stand ikawa chaliUbungo stand ndiyo ilikua inawapa jeuri ya pesa,hawajawai kua na pesa yao kama yao!!
Nyie huu umbeya uliwapitaje kwani wenzetu🤣...kwa mange ilikua watu wanafunguka mbona...khaUmejuwaje kama ana kibamia,alisha wai kukukula!!!??
Mimi mtu wa Moshi. Alishakufa siku nyingi huyu jamaaHili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Nashangaa hawaujui huu umbeaKama humjui ni wewe....
atakula saizi yake wapoHivyo sawa. Aachane na mapenzi maana si size yake kwa sasa.
Mangi kajaa hearsay, hana facts!!Nyie huu umbeya uliwapitaje kwani wenzetu🤣...kwa mange ilikua watu wanafunguka mbona...kha
OkayMangi kajaa hearsay, hana facts!!
Au Mange taarifa zake yeye ni za uchunguzi wa kisayansi!!??Okay
Leo nimeona usirias wako for the first time 😅Sasa ukidate na mzee ana miaka 60 utampendea nini zaidi ya pesa? Hebu tuwe serious kidogo😀
😂😂😂 Tupo hapa wazee wa enzi hizo majengo,town,pasua, ccp, kcmc, shant mpk na rau huko!!Nimeamini dunia ni ndogo sana. Kumbe watu wa moshi mjini enzi hizo miaka ya 2000 tuko hapahapa.
Kinje alikuwa mbabe sana na rafiki yake mkubwa alikuwa mama yangu mdogo ambaye ni marehemu kwa sasa.
Walikuwa wakija kwetu mama yangu anawafukuza sababu ya Kinje ila baadaye akazoea akawaacha tu.
Umenichekesha kwa ule mwendo wake, nilikuwa nashangaa sana maana sikuwa najua kwamba mwanaume anaweza kuwa na mambo ya kike!
Loh kwamba siku zote nafanya masihara?🙄Leo nimeona usirias wako for the first time 😅
Eee kumbe alisharehemika!!Mimi mtu wa Moshi. Alishakufa siku nyingi huyu jamaa
Loh kwamba siku zote nafanya masihara?
Na mwamba anawanyoosha tokea enzi zile za Miss Tz ya Lundenga, yaani hawa Mamiss kawatafuna sana.Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Unadhani yule mchezaji wa PSG aitwaye Akim anafijisha hata miaka 70 basi?Kwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu