MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hivi Kinjedada alishakufa?Hili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi Kinjedada alishakufa?Hili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Wezi nyieSasa ukidate na mzee ana miaka 60 utampendea nini zaidi ya pesa? Hebu tuwe serious kidogo😀
Umemtaja Ngombale Mwiru, ambaye ni baba yake. Sidhani hata kama walikuwa na undugu na Kinjekitile OG. Labda kama unataka kuhesabu generations.Nazungumzia yule Kinje wa vita ya Majimaji mganga wa kienyeji aliye waingiza wapiganaji wetu chaka kua risasi Wakoloni zitageuka kua maji!!
Mnatoa wenyewe hatuwakabiWezi nyie
Mtoto wa mjini mwenye mahela yake ni mtoto wa marehemu kingunge ngombale mwirukinje ndo nani huko tiktok
Aisee wewe pia kumbe ni wa Moshi? Kumbe tuko wengi huku.Hivi Kinjedada alishakufa?
Alikufa siku nyingiHivi Kinjedada alishakufa?
Nilimsikia sana wakati nasoma Moshi mwanzoni mwa miaka ya 2000Alikufa siku nyingi
I think nimepoteza boma la vyumba vitatuYupo Sahihi kastuka mapema.
Ewe mwanaume muhongaji, unaye honga elfu 10 unapoteza tofali 10....
Mimi wa Arusha ingawa Moshi ndo nimesoma. Pia mzazi wangu mmoja ni wa Moshi.Aisee wewe pia kumbe ni wa Moshi? Kumbe tuko wengi huku.
NI MATAPELITeam sapoti ndoa njooni mpangue hii hoja.
NB: zingatieni zaidi ya 95% ya wanawake wa kizazi hiki huuza miili yao, either directly or indirectly.
Tena nasikia eti aliuwa na mbwa zake mwenyewe anazo ziguga!!?Alikufa siku nyingi
Wewe acha tu. Kikubwa tuombe mwisho mwemaTena nasikia eti aliuwa na mbwa zake mwenyewe
Wachana na kinje dada... Watu wengine wa moshi nawakumbuka... BC, Barre, Dj HamzaOooh hapo sawa, kama ni huko Moshi , ila Kinje ,Kimbau hawa wapumzike tu Kwa Sasa muda ushawatupa mkono
Kwa wazee mnakaba hamuwapendiMnatoa wenyewe hatuwakabi
Ni kweliKwa wazee mnakaba hamuwapendi
Alifanya hiyo biashara kwa kinga ya jina la marehemu baba yake!! Hivi sasa hakuna wa kumkingia kifua; akija kamatwa tu na mzigo atasahaulika lupango!Ameacha kuuza unga