Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hili Jina ndo naliona hapa! Miaka ya nyuma watu wa moshi mjini watakuwa washalisikia hili jina, lilikuwa la "gasho" maarufu sana
Na kunapoteza Pesa nyingi za wanaume kwa ubatili mtupu ?!Kuhonga ni haramu sema tu watu hawajui Mzee.
Huyu naye akiwa na mahusiano
Madem wanakiona cha moto ana ubabe fulani na utata kwa wanawake na kupiga anapiga
Ova
Amefupisha jina anaitwa Kinjekitile Ngw'ale, ni Mganga wa jadi aliyewaambia Wapiganaji kwamba ameshafanya mambo hivyo wakipigwa risasi na Wajerumani waseme tu "maji" kwamba zile risasi zitageuka kuwa maji...kilichowakuta soma vitabu vya historia,vita viliitwa majimaji.
Bhaeleze watoto wa 2000's..kuna mmojahuko juu kasema Kinje ana hela kama utitiri..lol angesema zamani sawa kwanini Nitha kamuacha kisa kipi? Kaona anaendekeza umalaya no future...wakaanza kutunishiana misuli.toka serikali toka wapokonye stand ikawa chali
Hapana mkuu .miradi ikikata na hela hua inaongezekaKwa hiyo miradi ikikata na Hela huwa inakata kabisa ??
Kwamba alikuwa akiishi kwa cash basis na mzee wake na maza ake ??!
Mume mwenza wa mzee machachekinje ndo nani huko tiktok
Hapana mkuu .miradi ikikata na hela hua inaongezeka
Huyu kinje si nilisoma naye form 6 pale Benjamin au majina tu?Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
😄 wanawake wake wengi micharuko tuItakuwa sababu ya uchungu wa Hela zake wanazochukua hata ningekuwa mimi ukizingua ni vipigo vya maana.
Hakuna Hela inapatikana kirahisi.
Hii wewe vipi unataka tuhonge ili iweje mwanaume akiwa bahili katika MAISHA yake lazima atoboe maisha yaani.Na kunapoteza Pesa nyingi za wanaume kwa ubatili mtupu ?!
Familiar yangu watu wapuuzi sana haswa sisi wanaume mtu unapambana na life unaipata hio Elfu 10 alafu mtu anaenda kuhonga ili tu amridhishe demu wake.Aki ya Mungu nimecheka sana🤣🤣🤣
Kikuu message imefika. Hii message ilikua ya kinje. Naomba tafuta picha ya mke wake uje apaWanaume wanaoa sababu ya makalio wako wachache sana, ndio maana majority ya wadada wenye shape ni nyumba ndogo. Sometimes usiwalaumu watu jievaluate ww mwenyewe, evaluate your body counts, tabia yako. Kushinda kanisani hakukufanyi kuwa unatabia njema.
Hii wewe vipi unataka tuhonge ili iweje mwanaume akiwa bahili katika MAISHA yake lazima atoboe maisha yaani.