Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sasa huo si ndio wizi wenyeweNi kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa huo si ndio wizi wenyeweNi kweli
Ila hapa sabasita alipatikana mtoto alimshinda sana aiseeSasa hapa alitegemea asipendewe pesa kweli 😅
Kingunge ngombale mwiru aliyefariki 2019 mmakuwa ana uhusiano na Kinjikitile ngwale the leader of south thern tribes including makuwa tribeUmemtaja Ngombale Mwiru, ambaye ni baba yake. Sidhani hata kama walikuwa na undugu na Kinjekitile OG. Labda kama unataka kuhesabu generations.
Ok, I will have to take your word for it.Kingunge ngombale mwiru aliyefariki 2019 mmakuwa ana uhusiano na Kinjikitile ngwale the leader of south thern tribes including makuwa tribe
Yuko sahihiKinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Sasa tutapataje utelezi?Kuhonga ni haramu sema tu watu hawajui Mzee.
Kama ni ya moyoni Yuko vizuri sana!Kinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Katoka ngopyolo huyu!Wewe mjini WA kuja mkuu
Yeah kwa makapuku haina uhusiano hiyoHii haihusu tusio na hela.
Wanaume wanaoa sababu ya makalio wako wachache sana, ndio maana majority ya wadada wenye shape ni nyumba ndogo. Sometimes usiwalaumu watu jievaluate ww mwenyewe, evaluate your body counts, tabia yako. Kushinda kanisani hakukufanyi kuwa unatabia njema.Shida mnataka vidada vya mjini vikiwatenda mnakuja kulia lia. Sasa mwanamke wa miaka 23 akupende we mzee kwajili ya maini yako au? Ebu kuweni serious wanaume jamani vitu vingine mnajitoa tu fahamu umezaa na mdada mdogo mara mbili kwako ulilidhani kafuata nini? Hawa ndo wale wanaume akina sie tunaoshinda kanisano hatuna makalio mnatuona washamba mkiumizwa mnaanza wanawake wabaya hapana wanawake uliochagua ndo wabaya
Sisi binadamu huwa tunaangalia sana mapungufu ya wengine bila kuangalia ya kwetu. Je yeye ni mtu sahihi kwenye mahusiano?
si wazee tu hata vijana, uwe mrefu, mfupi, handsome, msomi, unapigwa tukio la kukufanya uwe masikini, yeye anasonga mbele to the next victimKwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu
Bora ununue bitch sio kuhongaSasa tutapataje utelezi?
Kabisaa. Huyu anasikika kwa tabia hizo hizo ndio maana wanawake wanamshindwa. Soon atajiachia tu waziwazi. Sasa bado anajificha.Wengine mashoga, wana gubu na madhaifu mengine wanayotafutia sababu kuyakimbia kwa kuwatwisha lawama wanawake. Kama wanaume hatuna tamaa, ni wapi wanaongoza kwa ujambazi ,ufisadi, wizi, na kila ghasia duniani kama siyo wanaume?
Ndo Yale maana Ukitaka bitch classic sio chini ya laki Sasa SI Bora nisuke project ya demu mkali mpaka ikifika sabini ishaliwaBora ununue bitch sio kuhonga
Alifanyuziwa na Jack ndo mana, siku ya uchumba Jack katoroka na mzungu wakapotelea South.Kashtuka kabla ya kufa
Aki ya Mungu nimecheka sana🤣🤣🤣Naongezea ukihonga Elfu 10 unapoteza LUKU Units 28 wa GePG.