Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Kinje asema hatoweka malengo na mwanamke kwani wana tamaa ya kupitiliza, asema anaangalia maisha yake tu

Umemtaja Ngombale Mwiru, ambaye ni baba yake. Sidhani hata kama walikuwa na undugu na Kinjekitile OG. Labda kama unataka kuhesabu generations.
Kingunge ngombale mwiru aliyefariki 2019 mmakuwa ana uhusiano na Kinjikitile ngwale the leader of south thern tribes including makuwa tribe
 
Kinje kama kinje kaongea

Akiongea na Radio moja pale SA

Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.

"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"

Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.

Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Yuko sahihi
 
Kinje kama kinje kaongea

Akiongea na Radio moja pale SA

Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.

"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"

Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.

Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Kama ni ya moyoni Yuko vizuri sana!
 
Kwa age yake hakuna wa kumpenda bila pesa😹😹
 
Shida mnataka vidada vya mjini vikiwatenda mnakuja kulia lia. Sasa mwanamke wa miaka 23 akupende we mzee kwajili ya maini yako au? Ebu kuweni serious wanaume jamani vitu vingine mnajitoa tu fahamu umezaa na mdada mdogo mara mbili kwako ulilidhani kafuata nini? Hawa ndo wale wanaume akina sie tunaoshinda kanisano hatuna makalio mnatuona washamba mkiumizwa mnaanza wanawake wabaya hapana wanawake uliochagua ndo wabaya
Wanaume wanaoa sababu ya makalio wako wachache sana, ndio maana majority ya wadada wenye shape ni nyumba ndogo. Sometimes usiwalaumu watu jievaluate ww mwenyewe, evaluate your body counts, tabia yako. Kushinda kanisani hakukufanyi kuwa unatabia njema.
 
Kwa umri wake lazima apendewe pesa hakuna namna
Kujilinda ni haki yake akiteleza anapoteza Kila kitu
si wazee tu hata vijana, uwe mrefu, mfupi, handsome, msomi, unapigwa tukio la kukufanya uwe masikini, yeye anasonga mbele to the next victim
 
Wengine mashoga, wana gubu na madhaifu mengine wanayotafutia sababu kuyakimbia kwa kuwatwisha lawama wanawake. Kama wanaume hatuna tamaa, ni wapi wanaongoza kwa ujambazi ,ufisadi, wizi, na kila ghasia duniani kama siyo wanaume?
Kabisaa. Huyu anasikika kwa tabia hizo hizo ndio maana wanawake wanamshindwa. Soon atajiachia tu waziwazi. Sasa bado anajificha.
 
Back
Top Bottom