Optimist_Tz
JF-Expert Member
- Jan 11, 2024
- 1,543
- 1,860
Huyu kinje si nilisoma naye form 6 pale Benjamin au majina tu?
Hiyo Shule ilianza miaka ya juzi kati hapo ?!
Atakuwa huyo sio wa aloleta ujumbe mzuri hapa wenye funzo kwa werevu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu kinje si nilisoma naye form 6 pale Benjamin au majina tu?
Kikuu message imefika. Hii message ilikua ya kinje. Naomba tafuta picha ya mke wake uje apa
Shida mnataka vidada vya mjini vikiwatenda mnakuja kulia lia. Sasa mwanamke wa miaka 23 akupende we mzee kwajili ya maini yako au? Ebu kuweni serious wanaume jamani vitu vingine mnajitoa tu fahamu umezaa na mdada mdogo mara mbili kwako ulilidhani kafuata nini?
Hawa ndo wale wanaume akina sie tunaoshinda kanisano hatuna makalio mnatuona washamba mkiumizwa mnaanza wanawake wabaya hapana wanawake uliochagua ndo wabaya
Haswa, ndio maana ndoa ni utapeliNI MATAPELI
Ila ninyi wa makanisani ndio hatari kabisa, bora hata wale wa barHawa ndo wale wanaume akina sie tunaoshinda kanisano hatuna makalio mnatuona washamba mkiumizwa mnaanza wanawake wabaya hapana wanawake uliochagua ndo wabaya
Rudia Tena kusoma nilichoandika kwa utulivu.
Yeye kasema, wanawake wanakuja kwenye mahusiano kutafuta mali, msaidie kwa kutaja pia wanaume wanatafuta nini kwenu ili muharibikiwe? Hapo utakua umetenda hakiSisi binadamu huwa tunaangalia sana mapungufu ya wengine bila kuangalia ya kwetu. Je yeye ni mtu sahihi kwenye mahusiano?
Hawa ndio wale huwa hawataki kuwa accountable kwa matendo yao waswahili wanasema anatafuta pa kufia.Kwanza kamuharibu Nitha wetu shenzi zake
Kimbau bado sanaOooh hapo sawa, kama ni huko Moshi , ila Kinje ,Kimbau hawa wapumzike tu Kwa Sasa muda ushawatupa mkono
Miaka 25 na miaka 34, mwanaume mbona muonekano wake unakua ule ule haujatofautiana sana, halafu kwa sisi wanaume wengi miaka 21-25 unakua bado uko chuo unategemea kula ya shikamoo toka kwa wazazi, na ukioa mke atahitaji matunzo, huoni shida hapo Lamomy25 mwisho, huko juu ni machozi na damu lazima pesa zihusike..!!
Bora Ata wewe 21-25 ulikua Chuo mimi miaka 25 nilikuwa formthreeMiaka 25 na miaka 34, mwanaume mbona muonekano wake unakua ule ule haujatofautiana sana, halafu kwa sisi wanaume wengi miaka 21-25 unakua bado uko chuo unategemea kula ya shikamoo toka kwa wazazi, na ukioa mke atahitaji matunzo, huoni shida hapo Lamomy
🤔🤣Miaka 25 ni umri wa kucheza kamari kijana anaoa nini25 mwisho, huko juu ni machozi na damu lazima pesa zihusike..!!
Kwa hiyo hawa 25yrs bila pesa fresh......mhhhhh halafu kumbuka unazungumzia ndoa. Unataka kijana wa watu achapiwe na apoteze uanamme wake ndani yani ya nyumba na kuwa mpole.25 mwisho, huko juu ni machozi na damu lazima pesa zihusike..!!
kinjekitile ngwale bukeloKinje kama kinje kaongea
Akiongea na Radio moja pale SA
Kasema kwa sasa anaangalia mambo yake kwani kuweka malengo kwa wanawake ni kupoteza muda
Amesema kwa sasa wanawake wamekua na tamaa ya Mali na mafanikio ya haraka kuliko chochote.
"Fikiria mtu anajiuza apate pesa unadhani huyo anaweza kua mtu Bora kwako"
Kinje katolea mfano matajiri wanavyopoteza utajiri wao dunia nzima hasa kwa watu ambao hawakuchangia wala kuhusika chochote kwenye utafutaji.
Kasema Yuko makini Sana na kizazi hiki cha wanawake matapeli wa Mali za wanaume.
Baadae Nitaweka mahojiano yake yote mpate kusikiliza.
Yupo Sahihi kastuka mapema.
Ewe mwanaume muhongaji, unaye honga elfu 10 unapoteza tofali 10....
😅😅😅Kastuka Mapema?? Serious? Amekumbuka Shuka kushakucha.
Hii naanza nayo hii Mid February all the way up to December...Yupo Sahihi kastuka mapema.
Ewe mwanaume muhongaji, unaye honga elfu 10 unapoteza tofali 10....
Amrudie Mungu tu kama hela hanaHana hela kwasasa inaesemekana