Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Swala la msingi la kujiuliza kafikaje fikaje mpk hapo.. Na katoa wapi huo ujasiri.. Ile video inaonesha ni mtu mzoefu .. Isije ikawa ni wale jamaa wanaofanyaga yao kule Kenya... Na je yupo huyu tu au kuna wengine?

Tahadhari kubwa itangazwe hasa kwenye balozi na malls
 
Ndio wale wale sinema feki, na hao ndio wasomi wao kule geshi ra porish
Una akili ndogo sana. Hujawahi kugundua uandishi mzuri unavutia hadi wasomaji.

Sasa akili zako kama ndiyo hizo una tofauti gani na hao polisi.
 
Aliyekwambia yule ni gaidi nani boya wewe yaani mnatengeneza sinema feki then muwaaminishe watu kuwa kuna ishu, hakuna ishu pale ni mwendelezo wa sanaa za Siro na kampani yake lijamaa liko kwenye magari ya polisi kila siku kwenye doria leo linajiita gaidi? aibu wangetumia hata mtu mwingine ambaye hafahamiki Dar, Hopeless and shameless police, imevuja hii wala hamdanganyi mtu tena , kuna jambo Mungu anataka awaonyeshe polisi
Kwamba jamaa yule ni police au??
 
Binafsi nimemuonea huruma huyu mtu. Kwa jinsi alivyokua anaongea ni kama kuna vitu alitaka asikilizwe Since hakua na lengo la kushambulia raia. My nerves tells me that ni mtu wao maybe na wao wanataarifa nae na wameshajilidhisha ndio maana wamempiga risasi ya kichwa.
Kama wasingekua wamejiridhisha wangemjeruhi ili wapate Taarifa zaidi
wamekosea sana kumuuwa!. Wenzetu watu kama hawa awauwai Kwani anaweza kuwa amebeba ujumbe mzito kwa usalama wa nchi husika siku zijazo.Sasa tumebaki kizani😥Kama vile yule aliemua Osward aliemuuwa JF Kenedy.

India ilipotokea shambulio la Ugaidi Mumbai walipambana nao na kuuwa magaidi karibia wote wakambakisha mmoja.Alipobanwa alitoa mpango mzima na nani aliewatuma,Serikali ya India walipojirizisha kuwa Dogo ametoa yote yaliomo akilini mwake wakampiga Kitanzi
 
Ndio wale wale sinema feki, na hao ndio wasomi wao kule geshi ra porish
Mpuuzi mkubwa! Sasa kama aya hazikuwa na umuhimu kwenye andiko lako umeenda kurekebisha nini?

Siku nyingine usiwe unaandika uharo.
 
Dar cjui kama kuna wanaume
Aiseeee
Magorofa yote tumejenga huku na pweza zipo baharini za kutosha/kuna hospitali kubwa pale muhimbili kina mama kila siku wanajifungua na jambazi tumemmaliza alafu bado unauliza kama Dar kuna wanaume kima ww..
 
Back
Top Bottom