Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Taliban wameshapewa nchi yao.Kama Taliban
Una akili ndogo sana. Hujawahi kugundua uandishi mzuri unavutia hadi wasomaji.Ndio wale wale sinema feki, na hao ndio wasomi wao kule geshi ra porish
Kwamba jamaa yule ni police au??Aliyekwambia yule ni gaidi nani boya wewe yaani mnatengeneza sinema feki then muwaaminishe watu kuwa kuna ishu, hakuna ishu pale ni mwendelezo wa sanaa za Siro na kampani yake lijamaa liko kwenye magari ya polisi kila siku kwenye doria leo linajiita gaidi? aibu wangetumia hata mtu mwingine ambaye hafahamiki Dar, Hopeless and shameless police, imevuja hii wala hamdanganyi mtu tena , kuna jambo Mungu anataka awaonyeshe polisi
Kwa kweliHuu nao ni ugaidi wa uandishi.
Kwanini usitenganishe aya kwenye andiko lako lilete mvuto kiusomaji.
wamekosea sana kumuuwa!. Wenzetu watu kama hawa awauwai Kwani anaweza kuwa amebeba ujumbe mzito kwa usalama wa nchi husika siku zijazo.Sasa tumebaki kizani😥Kama vile yule aliemua Osward aliemuuwa JF Kenedy.Binafsi nimemuonea huruma huyu mtu. Kwa jinsi alivyokua anaongea ni kama kuna vitu alitaka asikilizwe Since hakua na lengo la kushambulia raia. My nerves tells me that ni mtu wao maybe na wao wanataarifa nae na wameshajilidhisha ndio maana wamempiga risasi ya kichwa.
Kama wasingekua wamejiridhisha wangemjeruhi ili wapate Taarifa zaidi
anha, shukrani mkuu, zile za makumbusho ni tawi ama zote wapo?Ukifika Dar Free Market Mbele Kidogo Ndiyo Eagle Wings
Kuna Kituo Cha Mafuta Pembeni
Hajitambui, namwambia bado anakomaa kutikisa shanga zake.Kwa kweli
Mpaka hapo Sirro hajaijua ladha tofauti baina ya Gaidi na Mbowe?Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic...
Sawa jumaspeak of the Devil and he will appear!
Siyo huu ugaidi wa laki 6Ule ndiyo ugaidi sasa.
Mpuuzi mkubwa! Sasa kama aya hazikuwa na umuhimu kwenye andiko lako umeenda kurekebisha nini?Ndio wale wale sinema feki, na hao ndio wasomi wao kule geshi ra porish
Ile ni Ak47 ya kivita babuMjambazi kibao wana SMG. Raia kibao wana SMG za magendo
Wasomali hawa mnawafuga hapo kkoo.
Kumbe kapora askali,hatari sana!Kumbuka hizo bunduki amepora hao hao vyombo vya ulinzi.. huo nao huoni ni udhaifu wa hiyo system unaipigia promo?
Magorofa yote tumejenga huku na pweza zipo baharini za kutosha/kuna hospitali kubwa pale muhimbili kina mama kila siku wanajifungua na jambazi tumemmaliza alafu bado unauliza kama Dar kuna wanaume kima ww..Dar cjui kama kuna wanaume
Aiseeee