Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani hao ni chadema Ili intelligence ifanye kaziPolisi mbona hapo hatuwaoni wamefika?
Mbona hawajadhibiti au intelijensia haikufanya kazi?
Serikali yetu ina hamu sana ya kupata magaidi. Yawezekana polisi wetu wamepata mafunzo mengi ya kupambana na magaidi halafu magaidi hawatokei. Hivyo inabidi wapate hata wa kutengenezwa. Akina Mbowe wakiacha kudai katiba, akina Gwajima na akina Jerry eatageuzwa kuwa magaidi.Hao ndio magaidi sasa mliokuwa mkiwalilia
Nyie mko mjini mtulete habari kamili basiLete habari bwashee!
Mlitaka ugaidi umeanza sasa
Huyu ni nani? Bado yuko hai?
Anataka kujifanya taliban?
Ngoja niwahi eneo la tukio bwashee niko hapa Olympio!Nyie mko mjini mtulete habari kamili basi
Ni kina nani hao
Ova
Talban wametia timu au
Ukiwasikia unitag. Wangesikia mkutano wa chadema wangejaaa kama mchangaSi huwa kuna askari muda mwingi hapo kwenye kona ya kuelekea Masaki?
Hata Usalama wa Taifa si mbali sana hapo, kituo cha polisi Selander kipo karibu pia, hapo nyuma nyumba za O'bay kuna wastaafu kadhaa wa JWTZ
Subiri tuone hii mechi inaishajeMlitaka ugaidi umeanza sasa
Poa,fanya hivyo ningekuwa mjini mpk sahvNgoja niwahi eneo la tukio bwashee niko hapa Olympio!