Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

mesikia eti aliangushwa na boda bodaaa huenda boda boda alikuwa ameshatekwa akajinasua kwa namna hiyooo
 
Mkuu upeo wa wanamedani wetu ndio huo!!
E.g ugaidi wa laki6
 
Huyu alikuwa afanye tukio kubwa sana kuna msafara alikuwa anasubiri upite ndio aushambulis sema raia wema walitoa taarifa msafara ukageuza kabla haujafika mhalifu alipoView attachment 1907802
Hao walikuwa na safari zao wakati kashaanza kupiga risasi juu, Unajua bunduki kazitoa wapi? na hu ni msafara wa polisi vilevile part of the picture. Ukifikiri vizuri utaelewa
 
Upo sahihi ila nawaza kwa mfano angekamatwa na kuingiza siasa kwa mfano akamtaja Mwanasiasa yeyote kua amemtuma kutekeleza tukio.
Mngemuamini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…