Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Mkuu kwa ufahamu wangu mdogo kumzimisha mtu kama huyo ni process.

Pengine askari walikuwa wako horizontal na huyo mtu alafu hayo ni makazi ya watu,lazima askari wawe wqtulivu sana kwa sababu wakikosea ujue SMG risasi yake inaenda umbali wa zaidi hata ya KM 3 hivyo wakimkosa basi ndani ya umbali wa 3km ikimgusa mtu anaanguka.


Askari wakitumia vibaya risasi zao kupigapiga tu na risasi inaenda masafa marefu matokeo yake ni kuuwawa watu wasio na hatia.

Ingelikuwa rahisi sana kama kuna sniper yuko juu huyo jamaa angelipotea kabisa.

Lakini shida ni kuwa wote wapo chini,adui hana cha kupoteza lakini askari anatakiwa aangalie akilenga akamkosa hatodhuru watu wengine wa pembeni ?

Na inategemea askari yupo engo gani.

Kuna clip nimeiona askari akiwa anatambaa chini kumuwinda huyo jamaa nitaiweka hapa chini.

Matukio kama hayo raia anachanganyikiwa sisemi kwa askari ambae anatakiwa awalinde watu na kujilinda mwenyewe.0
Mbna huyu anaonekana kama kajeruhiwa mpiga picha anasema.. "sijui kamuua""
 
jamaa alikua kwenye bajaj au mwenye bajaji amelala MBERE baada ya kusikia risasi?

Hivi tunavyoongea jamaa ndio anapita mbio hapa Mapinga, akielekea Bagamoyo...😊😊
 
Turushie nasi tuone
Hyo
IMG-20210825-WA0056.jpg
IMG-20210825-WA0055.jpg
 
Ulimi unaumba
Waliopewa nchi ni wapiga deal
There is more to come
Kuna mtu anapewa safari kila siku nyuma kuna watu wanafanya yao
Wanapanga mipango
Jeshi la Wananchi huu ni mfupa wa samaki fanyeni yenu tuanze upya.
Nyumba teule kuko na majambawazi
 
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?

Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic.

========

Mtu mmoja ambaye alionekana kufyatua risasi karibu na Ubalozi wa Ufaransa Jijini Dar es Salaam amedhibitiwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama

IGP Simon Sirro amesema mtu huyo amewaua Askari wawili katika majibizano ya risasi kabla hajauawa


View attachment 1907510
View attachment 1907511


View attachment 1907519


Hii ni developing news…

Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.

IMG-20210825-WA0032.jpg


IMG-20210825-WA0031.jpg
 
Umeona? Ndio maana hata wale wa Magufuli walishindwa kwa Lissu. Huyo gaidi kasimama kama gogo lakini wanapiga hewani tu!! Yaani amepiga risasi nyiingi bila ya kupatia shabaha.
Ukifuatilia hizi video unagundua kwamba vyombo vyetu huwa havipo tayari muda wowote na popote kupambana na matukio yoyote.

View attachment 1907720

Tanzania nchi ya amani lakini wehu wachache hawakosekani popote.... na kuwa tayari kupambana na matukio kama haya ni muhimu sana

Yaani hapa kama vile wamfufue waanze kumchapa upyaaaa
View attachment 1907722
 
TANZANIA/JF KILA MTU NI MWANA USALAMA. UKISOMA COMMENTS UTACHEKA NYINGINE UTASIKITIKA TU.

NIONAVYO MIMI HUYO MTU NI GAIDI. TENA MAGAIDI WAMEKUJA NA AINA MPYA YA KUFANYA TUKIO KWA KUWALENGA ASKARI TU HASA POLISI.

HII MBINU NI NZURI KWA KUWA MAGAIDI SASA WANAKWENDA KUPATA UUNGWAJI MKONO MKUBWA KUTOKA KWA RAIA. NIMESOMA COMMENTS KWENYE MITANDAO MBALIMBALI WATU WANAMPONGEZA GAIDI KWA KUTOWAGUSA RAIA WA KAWAIDA.

KULE KENYA WET GATE MAGAIDI YALIUA RAIA NDIO MAANA WALIPOTEZA USHAWISHI. HUKU KWETU MAGAIDI HAYAGUSI RAIA ILI TU KUPATA SUPPORT YA NGUVU YA UMMA.

YAJAYO YANAHUZUNISHA SANA.
 
Back
Top Bottom