Planett
JF-Expert Member
- Mar 20, 2014
- 10,497
- 16,180
jamaa alikua kwenye bajaj au mwenye bajaji amelala MBERE baada ya kusikia risasi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
jamaa alikua kwenye bajaj au mwenye bajaji amelala MBERE baada ya kusikia risasi?
Nko gairo chaka huku mzeeMutu ya mujini tupe mastori na mapisha pisha ya mutukio huu ya kusikitisha! Wewe mwingi wa habari, najua.
Kwamba askari ndio hayapendi maisha yake?Duuh!
Askari aliyeporwa ni mzembe kupita kiasi.
Unaporwaje bunduki ya kivita kizembezembe tu.
Mbna huyu anaonekana kama kajeruhiwa mpiga picha anasema.. "sijui kamuua""Mkuu kwa ufahamu wangu mdogo kumzimisha mtu kama huyo ni process.
Pengine askari walikuwa wako horizontal na huyo mtu alafu hayo ni makazi ya watu,lazima askari wawe wqtulivu sana kwa sababu wakikosea ujue SMG risasi yake inaenda umbali wa zaidi hata ya KM 3 hivyo wakimkosa basi ndani ya umbali wa 3km ikimgusa mtu anaanguka.
Askari wakitumia vibaya risasi zao kupigapiga tu na risasi inaenda masafa marefu matokeo yake ni kuuwawa watu wasio na hatia.
Ingelikuwa rahisi sana kama kuna sniper yuko juu huyo jamaa angelipotea kabisa.
Lakini shida ni kuwa wote wapo chini,adui hana cha kupoteza lakini askari anatakiwa aangalie akilenga akamkosa hatodhuru watu wengine wa pembeni ?
Na inategemea askari yupo engo gani.
Kuna clip nimeiona askari akiwa anatambaa chini kumuwinda huyo jamaa nitaiweka hapa chini.
Matukio kama hayo raia anachanganyikiwa sisemi kwa askari ambae anatakiwa awalinde watu na kujilinda mwenyewe.0
degree tatu mkuuHivi nyie mnaokejeli mna kiwango gani cha elimu?
Halafu nilikuona Ungu road JuziNko gairo chaka huku mzee
Ova
Kesha potea huyo hajui alipo wala anapoelekeaHapo uliko uko wapi
jamaa alikua kwenye bajaj au mwenye bajaji amelala MBERE baada ya kusikia risasi?
Mambosasa kwa sasa hayupo tena Dar. Aliyepo Dar ni Jumanne Mlilo
Duh! Basi kila la heri. Hapa sasa nina uhakika habari ya mkurugenzi na yale mabati 1,100 ya Kilosa itakuja ikiwa kamili gado.Nko gairo chaka huku mzee
Ova
Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic.
========
Mtu mmoja ambaye alionekana kufyatua risasi karibu na Ubalozi wa Ufaransa Jijini Dar es Salaam amedhibitiwa na Vyombo vya Ulinzi na Usalama
IGP Simon Sirro amesema mtu huyo amewaua Askari wawili katika majibizano ya risasi kabla hajauawa
View attachment 1907510
View attachment 1907511
View attachment 1907519
Hii ni developing news…
Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
Nilijua tu.. hawa watu sio wakuchekewa
Ukifuatilia hizi video unagundua kwamba vyombo vyetu huwa havipo tayari muda wowote na popote kupambana na matukio yoyote.
View attachment 1907720
Tanzania nchi ya amani lakini wehu wachache hawakosekani popote.... na kuwa tayari kupambana na matukio kama haya ni muhimu sana
Yaani hapa kama vile wamfufue waanze kumchapa upyaaaa
View attachment 1907722
Wewe ni mjinga hujaona hiyo silaha au nyie ndio vibaraka wa
Utaona umahiri waoVyombo vyetu vipo tayari muda wote kukamata wapinzani na wanaharakati