Sema wewe tukisema sisi tunaitwa magaidi.Ukifuatilia hizi video unagundua kwamba vyombo vyetu huwa havipo tayari muda wowote na popote kupambana na matukio yoyote.
View attachment 1907720
Tanzania nchi ya amani lakini wehu wachache hawakosekani popote.... na kuwa tayari kupambana na matukio kama haya ni muhimu sana
Yaani hapa kama vile wamfufue waanze kumchapa upyaaaa
View attachment 1907722
Duh kwamba alikuwa anadai mafao yake 🤣 🤣Marekani hata kama ikitokea ni LAZIMA watajua ni nani, alitoka wapi na alitaka nini, silaha alipata wapi nk Hapa kwetu sahau kujua chochote kuhusu huyo jamaa ndugu, lazima upigwe fix kwamba alikuwa anadai mafao yake pale ubalozi.
Msomali anakwenda kusomea ugaidi halafu anarudi kwetu? Hii nalo ni kubwa.Huyo ni msomali na alienda kusoma mambo ya dini huko Egypt na mara zote alikuwa akitaja mambo ya jihad.
N. B nimesikiliza clip inayosambaa mtandaoni
Mwili kubwa kumbe toto
Teh teh hi wilaya mtihani kweliDuh! Basi kila la heri. Hapa sasa nina uhakika habari ya mkurugenzi na yale mabati 1,100 ya Kilosa itakuja ikiwa kamili gado.
Mkuu kwenye Amani ya nchi hakuna chama wala mtu ambaye atajaribu kuigusa na akaungwa mkono...pia ukweli hujitenga ujue ata kama atataja mwanasiasa lakini ukweli utajulikana na wahusika watajulikana...kwani haya yanayotokea huko mpakani mbona hayahusishwi na wanasiasa wetu? Ni sababu wameshaona nini kinatakiwa kifanyikeUpo sahihi ila nawaza kwa mfano angekamatwa na kuingiza siasa kwa mfano akamtaja Mwanasiasa yeyote kua amemtuma kutekeleza tukio.
Mngemuamini?
Umetafakari vyema.TANZANIA/JF KILA MTU NI MWANA USALAMA. UKISOMA COMMENTS UTACHEKA NYINGINE UTASIKITIKA TU.
NIONAVYO MIMI HUYO MTU NI GAIDI. TENA MAGAIDI WAMEKUJA NA AINA MPYA YA KUFANYA TUKIO KWA KUWALENGA ASKARI TU HASA POLISI.
HII MBINU NI NZURI KWA KUWA MAGAIDI SASA WANAKWENDA KUPATA UUNGWAJI MKONO MKUBWA. NIMESOMA COMMENTS KWENYE MITANDAO MBALIMBALI WATU WANAMPONGEZA GAIDI KWA KUTOWAGUSA RAIA WA KAWAIDA.
KULE KENYA WET GATE MAGAIDI YALIUA RAIA NDIO MAANA WALIPOTEZA USHAWISHI. HUKU KWETU MAGAIDI HAYAGUSI RAIA ILI TU KUPATA SUPPORT YA NGUVU YA UMMA.
YAJAYO YANAHUZUNISHA SANA.
subiri saa mbili kaka si mbali.Duh kwamba alikuwa anadai mafao yake 🤣 🤣
Kama nani kwa mfano🤣Upo sahihi ila nawaza kwa mfano angekamatwa na kuingiza siasa kwa mfano akamtaja Mwanasiasa yeyote kua amemtuma kutekeleza tukio.
Mngemuamini?
mama D said:
Ukifuatilia hizi video unagundua kwamba vyombo vyetu huwa havipo tayari muda wowote na popote kupambana na matukio yoyote.
View attachment 1907720
Tanzania nchi ya amani lakini wehu wachache hawakosekani popote.... na kuwa tayari kupambana na matukio kama haya ni muhimu sana
Yaani hapa kama vile wamfufue waanze kumchapa upyaaaa
View attachment 1907722
Umeona? Ndio maana hata wale wa Magufuli walishindwa kwa Lissu. Huyo gaidi kasimama kama gogo lakini wanapiga hewani tu!! Yaani amepiga risasi nyiingi bila ya kupatia shabaha.
Nadhani akina El Chapo na Escobar wa Amerika ya Kusini walitumia mbinu hii. Tusisahau shehena ya tanikaribu mbili ya heroin iliyoambatana na kimbunga JOBO! Mungu tunusuru na dhahama hii.KWETU MAGAIDI HAYAGUSI RAIA ILI TU KUPATA SUPPORT YA NGUVU YA UMMA.
YAJAYO YANAHUZUNISHA SANA.
Tujiweke tayari AK47 huwa hawana polisiLazima ana watu huyu. Ikute hii ilikuwa muonjesho tu. Kuna makubwa yanakuja.
Jamaa ni kama alitaka apigwe risasi afe. Maana sijui alikuwa anafikiri nini. Hii sio Baidoua. Kule wanauza mkaa, wanavuta bangi na shisha zao, halafu wanaoa watoto underage...shida sanaWasomali tunawachekea Tanzania ipo siku watatuharibia nchi
Sio gaidi huyo ankooWow. Hawa mashetani wamefika Tanzania? Poleni zenu majirani.
subiri saa mbili kaka si mbali.
Utakuwa umenakili namba vibaya..Mbona namba yake ukimtumia pesa tigoPESA inakuja jina la Filista?