babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Haukuwa msafara wa polisi bali ni msafara wa mkuu wa uhamiaji(CGI).Hao walikuwa na safari zao wakati kashaanza kupiga risasi juu, Unajua bunduki kazitoa wapi? na hu ni msafara wa polisi vilevile part of the picture. Ukifikiri vizuri utaelewa
Watu nouma na hizo info mmepata wapi?!Utakuwa umenakili namba vibaya..
Nmecheki kasajili kwa jina la HAMZA MOHAMMED
Kala kona zamani sana,huyo mwehu inasemekana alianza kupaisha njugu tokea mitaa ya sarenda hukoMbona kwenye bajaji hamna mtu? Imefikaje fikaje hapo bila mtu[emoji3]
Ni kweli sio gaidi huyo ni mama ntilie.Sio gaidi huyo ankoo
Nimejisikia vbaya ulivyoandika!!! Kuna hisia fulani nimepata mimi ni mkiristo ila nakuomba umsamehe bure mkuu
Ameuwa askari wawili?Sasa kama jamaa mmoja anauwa ma askari wawili na mazombie al shabaab je?
Walikaribishwa na Sirro.Au wataliban
Ufafanuzi ulioshiba.[emoji122]Mkuu kwa ufahamu wangu mdogo kumzimisha mtu kama huyo ni process.
Pengine askari walikuwa wako horizontal na huyo mtu alafu hayo ni makazi ya watu,lazima askari wawe wqtulivu sana kwa sababu wakikosea ujue SMG risasi yake inaenda umbali wa zaidi hata ya KM 3 hivyo wakimkosa basi ndani ya umbali wa 3km ikimgusa mtu anaanguka.
Askari wakitumia vibaya risasi zao kupigapiga tu na risasi inaenda masafa marefu matokeo yake ni kuuwawa watu wasio na hatia.
Ingelikuwa rahisi sana kama kuna sniper yuko juu huyo jamaa angelipotea kabisa.
Lakini shida ni kuwa wote wapo chini,adui hana cha kupoteza lakini askari anatakiwa aangalie akilenga akamkosa hatodhuru watu wengine wa pembeni ?
Na inategemea askari yupo engo gani.
Kuna clip nimeiona askari akiwa anatambaa chini kumuwinda huyo jamaa nitaiweka hapa chini.
Matukio kama hayo raia anachanganyikiwa sisemi kwa askari ambae anatakiwa awalinde watu na kujilinda mwenyewe.0
Mbona unaulizia wa marekani uko mbali kabisa na wa ufaransa bwasheeTatizo mama Samia anajifanya mjuaji kudharau watangulizi wake wote waliowakomalia migaidi hiyo mishehe ya uamsho
Raisi shein mwislamu mwenzao aliwakomalia ,Kikwete mwislamu mwenzao aliwakomalia , Magufuli akawakomalia yeye ndie anajitia mjuaji akawaachia
Walichofanya kimataifa ni kitu kikubwa .Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipokuwa Ubalozi wa Marekani ambapo magaidi walishambulia .
Message wanayo send Ni kwamba ok all past presidents walitudhibiti we have our own president now we are back!!! To prove we attack the same place we attacked
Mkuu katika vitu naogopa maishani na ninaombea nisiwepo kabisa kwenye matukio ya kurushiana risasi yani nitazimia. Siyo eti mbaguzi ila hii jamii ya waarabu na wasomali wakiingia kwenye basi au treni hasa wanaume ninakuwaga makini sana hadi safari iishe japo ni watu fresh. Namuomba Mungu yasinikute. Ila mbantu mwenzangu awe na sigda au ndevu kibaragashia sina hofu kabisa ila hawa wenye lafudhi ya kikohozi japo ni watu freshi tu tayarichezea mlio wa chuma
Kwaiyo waislam ndo magaidi?Wewe hujui athari za magaidi ndio maana unajichetua hapa siku ukusikia gaidi amejilipua sokoni uje uandike ujinga wako tena
Hivi nyie mnaokejeli mna kiwango gani cha elimu?
Mi nimeshangaa wamempiga kaanguka bado wakaendelea kumpiga,hapo hawatajua chochote kuhusu mtandao kama upoMimi nadhani imetumika akili ndogo sana kumuua. mtu alikuwa sehemu ya wazi,kama polisi wangekuwa na snipers, angepigwa risasi kwenye bega lilokuwa na bunduki ,bila shaka angedondoka chini.baadae wangemfuata akiwa hai ili atoe maelezo ambayo yangewasaidia sanaaaa polisi.
ni Tanzania tu ambapo polisi anaua mtu mwenye ushahidi hata kabla hajaupata huo ushahidi. The guy was positioned at a conspicuous place , why not use your stupid blame to catch mim, alive?
Hiiyo marekani na ufaransa unayoitaja kwao mashambulizi ya kigaidi ni kila wiki. Halafu kuanza kuhusisha masheikh wa uamsho na hili ni mapema mno. Tafadhali punguza mihemkoTatizo mama Samia anajifanya mjuaji kudharau watangulizi wake wote waliowakomalia migaidi hiyo mishehe ya uamsho
Raisi shein mwislamu mwenzao aliwakomalia ,Kikwete mwislamu mwenzao aliwakomalia , Magufuli akawakomalia yeye ndie anajitia mjuaji akawaachia
Walichofanya kimataifa ni kitu kikubwa .Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipokuwa Ubalozi wa Marekani ambapo magaidi walishambulia .
Message wanayo send Ni kwamba ok all past presidents walitudhibiti we have our own president now we are back!!! To prove we attack the same place we attacked
wana panda wana taja Pentagon mara bunge mwisho waseme Ndugai ata tujuwa! au waseme Mungu tupokee sisi niwaja wako tuna kuja leoMkuu katika vitu naogopa maishani na ninaombea nisiwepo kabisa kwenye matukio ya kurushiana risasi yani nitazimia. Siyo eti mbaguzi ila hii jamii ya waarabu na wasomali wakiingia kwenye basi au treni hasa wanaume ninakuwaga makini sana hadi safari iishe japo ni watu fresh. Namuomba Mungu yasinikute. Ila mbantu mwenzangu awe na sigda au ndevu kibaragashia sina hofu kabisa ila hawa wenye lafudhi ya kikohozi japo ni watu freshi tu tayari
Labda anataka aunganishwe na marehemuUnamtumia pesa ya nini? Unaambiwa ameshakufa.