EINSTEIN112
JF-Expert Member
- Oct 26, 2018
- 21,711
- 35,644
Sawa we amini uaminivyoMkuu upo kisiasa zaidi endeleza mjadala ila wazee wa medani wanajua kilichomfikisha huyo jamaa hapo ubalozini ijapokuwa kuna ulinzi mkubwa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa we amini uaminivyoMkuu upo kisiasa zaidi endeleza mjadala ila wazee wa medani wanajua kilichomfikisha huyo jamaa hapo ubalozini ijapokuwa kuna ulinzi mkubwa.
hahahaKumbe kwenye bajaji hakuna mtu...[emoji1][emoji1]
Inaelekea walikuwa ambushed.Kumbe ile silaha walinyang'anywa polisi?
Yani huyu gaidi bora alisamehe raia aisee maana ingekuwa hatari sanaMwili kubwa kumbe toto
Kwani huyo atapelekwa kisutu ?Kwa tukio lililotokea leo jijini Dar, tusahau kabisa kuona mzungu yeyote akitia mguu mahakama ya Kisutu au kupiga kelele juu ya kukamatwa kwa Mbowe. Kwa mara nyingine Kila mmoja ameona hatari kubwa inayoweza kuipata nchi kutokana na uhalifu uwe wa aina ya ujambazi au ugaidi. Mungu atuepushie mbali.
Hata wafuasi wa Chadema sasa wanatambua kwa nini serikali ina ukali mkubwa dhidi ya kwa vitendo vya uhalifu vikiwemo vile vya ugaidi. Wametambua kwa nini serikali haiko tayari kumwachia Mbowe mpaka kieleweke mbele ya sheria.
Ni bahati mbaya sana baadhi ya wanasiasa walikuwa wakilichukulia jambo hili kwa mzaha mzaha. Sasa tuache mzaha. Kila mmoja akae mkao wa kulinda taifa letu dhidi ya hatari yoyote. Kila mtu amchunge mwenzake hata kama ni kiongozi wako wa siasa au dini usikubali kupumbazwa kuwa hawezi kuwa mwalifu au gaidi. Tumeona kwa muda mfupi taifa lilivyopoteza askari wake na suala hili kuleta taharuki. Tutafakari sana.
Kulingana na hyo clip huyo kijana alikuwaga na akili ka zimeruka jeuri na msumbufu ndio akapelekwa Egypt kusoma dini na aliporudi Tanzania akawa anataja mambo ya jihadiMsomali anakwenda kusomea ugaidi halafu anarudi kwetu? Hii nalo ni kubwa.
Lakini pia tujue kama chanjo imemfanya ajione yuko tayari front kwenye jihad.
Huyu ni mzee. Hapa kijana wa 2008 anakalisha mtaaYani tunalingana kabisa wa 91? Kakatisha maisha ya watu bure
Polisi wetu wanajipima kwa kupambana na mwanasiasa asiye na silaha wala ujuzi wa kupambana.Tunajua hili lazima ni suala la uanaharakati wa kidini kwa huyu kijana msomali kuua asjari wawili wa polisi.
Nimesikitikia utayari wa polisi wetu waliokuwa lindo, kuvamiwa na silaha kuchuliwa na wao kuuwawa.
Halileti picha nzuri kwa utayari wa askari wetu.
Hata hivyo RIP vijana wetu.
Ndo kinachosemekana mkuu.. maana inavoonesha jamaa ni kama aliwapora askari hizo bunduki kisha akawashambulia... Hata mimi bado nashangaa kama wewe imekuwaje askari anaporwa bunduki.Hao askari nao wameporwaje hizo binduki?
Askari walikuwa wangapi?
Hujawahi kusikia hata sauti ya risasi alaf unataka gaidi alieuwa askar wawili abembelezwe amatwe akiwa mzima? Siku utakayo sikia sauti ya risasi na mtu akadondoka mbele yako utajiona mpuuzi sanaHuu ni udhaifu umeonyeshwa nabjeshi la polisi mtu mjo na wako na nafasi ya kumkata kabisha eti wanapiga kifua
Sham on you!
Hii nchi si yakuaminiana kabisa unaweza kuta Siro ndo anatumia ID ya Pythagoras ukitaja tu unadakwa.hahaha hapana tunajadili maswala ya kitaifa tu. We ni Raia mwema
Ndo inavosemekana chief mpaka sasaHakuna bunduki iliyoporwa
Familia iwekwe kizuizini inasemekana anaishi fire upangaView attachment 1907910
Hata kumuua gaidi wamewezaKuwatoa chadema kanisani wanaweza
Kwani wote wawili walikua wanalinda sehemu moja?Kumbe ile silaha walinyang'anywa polisi?
wamenyanganywa bunduki akawaua then hao ni askari au midabwadaHata kumuua gaidi wameweza
Kwa gharama ya polisi wawili kuuwawa.Hata kumuua gaidi wameweza
SijuiKwani wote wawili walikua wanalinda sehemu moja?