babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huyo si gaidi ni hao wasomali pirates wa zamani alikimbilia mafichoni tu hapa bongo.
tabu ya damu ukiua siku utajitokeza mwenyewe kukiri.
huyo mpumbavu unaenda ku attack Police mchana kweupee,kwaza polisi wa kazi gani?labda wawe wanakufkuzia,mara nyingi caught in action wanakimbia na kujificha.
leo naskia wawili wameondoka kizembe tu..
Ila polisi nao kumchabanga jamaa risasi km 500 zamatako sio poa ,mngepiga zingine za mbupu angeamka yule.
Alafu mnabalance story😂😂😂🍻
tabu ya damu ukiua siku utajitokeza mwenyewe kukiri.
huyo mpumbavu unaenda ku attack Police mchana kweupee,kwaza polisi wa kazi gani?labda wawe wanakufkuzia,mara nyingi caught in action wanakimbia na kujificha.
leo naskia wawili wameondoka kizembe tu..
Ila polisi nao kumchabanga jamaa risasi km 500 zamatako sio poa ,mngepiga zingine za mbupu angeamka yule.
Alafu mnabalance story😂😂😂🍻