Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Huyo si gaidi ni hao wasomali pirates wa zamani alikimbilia mafichoni tu hapa bongo.
tabu ya damu ukiua siku utajitokeza mwenyewe kukiri.
huyo mpumbavu unaenda ku attack Police mchana kweupee,kwaza polisi wa kazi gani?labda wawe wanakufkuzia,mara nyingi caught in action wanakimbia na kujificha.
leo naskia wawili wameondoka kizembe tu..

Ila polisi nao kumchabanga jamaa risasi km 500 zamatako sio poa ,mngepiga zingine za mbupu angeamka yule.
Alafu mnabalance story😂😂😂🍻
 
Such cowards wanapenda soft target, huyu lazima alikua wazimu, hakumiminia bus ya Rosa marisasi, alikua tu anaongea zake.., I hate terrorism, washindwe kabisa!!
 
Mkuu kwa ufahamu wangu mdogo kumzimisha mtu kama huyo ni process.

Pengine askari walikuwa wako horizontal na huyo mtu alafu hayo ni makazi ya watu,lazima askari wawe wqtulivu sana kwa sababu wakikosea ujue SMG risasi yake inaenda umbali wa zaidi hata ya KM 3 hivyo wakimkosa basi ndani ya umbali wa 3km ikimgusa mtu anaanguka.


Askari wakitumia vibaya risasi zao kupigapiga tu na risasi inaenda masafa marefu matokeo yake ni kuuwawa watu wasio na hatia.

Ingelikuwa rahisi sana kama kuna sniper yuko juu huyo jamaa angelipotea kabisa.

Lakini shida ni kuwa wote wapo chini,adui hana cha kupoteza lakini askari anatakiwa aangalie akilenga akamkosa hatodhuru watu wengine wa pembeni ?

Na inategemea askari yupo engo gani.

Kuna clip nimeiona askari akiwa anatambaa chini kumuwinda huyo jamaa nitaiweka hapa chini.

Matukio kama hayo raia anachanganyikiwa sisemi kwa askari ambae anatakiwa awalinde watu na kujilinda mwenyewe.0
Ufafanuzi ulioshiba.[emoji122]
 
Tatizo mama Samia anajifanya mjuaji kudharau watangulizi wake wote waliowakomalia migaidi hiyo mishehe ya uamsho

Raisi shein mwislamu mwenzao aliwakomalia ,Kikwete mwislamu mwenzao aliwakomalia , Magufuli akawakomalia yeye ndie anajitia mjuaji akawaachia

Walichofanya kimataifa ni kitu kikubwa .Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipokuwa Ubalozi wa Marekani ambapo magaidi walishambulia .

Message wanayo send Ni kwamba ok all past presidents walitudhibiti we have our own president now we are back!!! To prove we attack the same place we attacked
Mbona unaulizia wa marekani uko mbali kabisa na wa ufaransa bwashee
 
chezea mlio wa chuma
Mkuu katika vitu naogopa maishani na ninaombea nisiwepo kabisa kwenye matukio ya kurushiana risasi yani nitazimia. Siyo eti mbaguzi ila hii jamii ya waarabu na wasomali wakiingia kwenye basi au treni hasa wanaume ninakuwaga makini sana hadi safari iishe japo ni watu fresh. Namuomba Mungu yasinikute. Ila mbantu mwenzangu awe na sigda au ndevu kibaragashia sina hofu kabisa ila hawa wenye lafudhi ya kikohozi japo ni watu freshi tu tayari
 
IMG_20210825_155805.jpg
 
Mimi nadhani imetumika akili ndogo sana kumuua. mtu alikuwa sehemu ya wazi,kama polisi wangekuwa na snipers, angepigwa risasi kwenye bega lilokuwa na bunduki ,bila shaka angedondoka chini.baadae wangemfuata akiwa hai ili atoe maelezo ambayo yangewasaidia sanaaaa polisi.
ni Tanzania tu ambapo polisi anaua mtu mwenye ushahidi hata kabla hajaupata huo ushahidi. The guy was positioned at a conspicuous place , why not use your stupid blame to catch mim, alive?
Mi nimeshangaa wamempiga kaanguka bado wakaendelea kumpiga,hapo hawatajua chochote kuhusu mtandao kama upo
 
Tatizo mama Samia anajifanya mjuaji kudharau watangulizi wake wote waliowakomalia migaidi hiyo mishehe ya uamsho

Raisi shein mwislamu mwenzao aliwakomalia ,Kikwete mwislamu mwenzao aliwakomalia , Magufuli akawakomalia yeye ndie anajitia mjuaji akawaachia

Walichofanya kimataifa ni kitu kikubwa .Ubalozi wa ufaransa unatazamana na ulipokuwa Ubalozi wa Marekani ambapo magaidi walishambulia .

Message wanayo send Ni kwamba ok all past presidents walitudhibiti we have our own president now we are back!!! To prove we attack the same place we attacked
Hiiyo marekani na ufaransa unayoitaja kwao mashambulizi ya kigaidi ni kila wiki. Halafu kuanza kuhusisha masheikh wa uamsho na hili ni mapema mno. Tafadhali punguza mihemko
 
Mkuu katika vitu naogopa maishani na ninaombea nisiwepo kabisa kwenye matukio ya kurushiana risasi yani nitazimia. Siyo eti mbaguzi ila hii jamii ya waarabu na wasomali wakiingia kwenye basi au treni hasa wanaume ninakuwaga makini sana hadi safari iishe japo ni watu fresh. Namuomba Mungu yasinikute. Ila mbantu mwenzangu awe na sigda au ndevu kibaragashia sina hofu kabisa ila hawa wenye lafudhi ya kikohozi japo ni watu freshi tu tayari
wana panda wana taja Pentagon mara bunge mwisho waseme Ndugai ata tujuwa! au waseme Mungu tupokee sisi niwaja wako tuna kuja leo
 
Back
Top Bottom