Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kwani huyo atapelekwa kisutu ?
 
Msomali anakwenda kusomea ugaidi halafu anarudi kwetu? Hii nalo ni kubwa.
Lakini pia tujue kama chanjo imemfanya ajione yuko tayari front kwenye jihad.
Kulingana na hyo clip huyo kijana alikuwaga na akili ka zimeruka jeuri na msumbufu ndio akapelekwa Egypt kusoma dini na aliporudi Tanzania akawa anataja mambo ya jihadi
 
Polisi wetu wanajipima kwa kupambana na mwanasiasa asiye na silaha wala ujuzi wa kupambana.

Mlitaka magaidi naona wamewasikia na wameanza kubeep bado hawajapiga simu
 
Hao askari nao wameporwaje hizo binduki?

Askari walikuwa wangapi?
Ndo kinachosemekana mkuu.. maana inavoonesha jamaa ni kama aliwapora askari hizo bunduki kisha akawashambulia... Hata mimi bado nashangaa kama wewe imekuwaje askari anaporwa bunduki.
 
Tuliambiwa Tz ni kisiwa cha Amani so ata police wame relaxy
 
Huu ni udhaifu umeonyeshwa nabjeshi la polisi mtu mjo na wako na nafasi ya kumkata kabisha eti wanapiga kifua

Sham on you!
Hujawahi kusikia hata sauti ya risasi alaf unataka gaidi alieuwa askar wawili abembelezwe amatwe akiwa mzima? Siku utakayo sikia sauti ya risasi na mtu akadondoka mbele yako utajiona mpuuzi sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…