Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Eee MWENYEZI MUNGU TUEPUSHE NA MADHILA YA HATARI KAMA HILOO
 
alitaka kuwa hero kesho a trend kwa newspaper
 
Sasa walikuwa wanauomba ugaidi ishaingia Sasa namshauri rais siro aondolewe haraka na awekwe detention awe interrogated na tiss
 
Sio gaidi huyo ankoo
Ka si gaid n nan mkuu
Haha haa
 
Hicho ndio amefundishwa mkuu 'ujasiri'hata kama itakulazimu kufa

Vitendo vya ujasiri ndio uaskari wenyewe mkuu.
 
Ni Gaidi, kwakuwa ni Muislamu mosi, pili ni Msomali, tatu kitendo chake kilikusudia kuogofya hadhila, kusoma dini hata Gwajima alienda kusoma dini, tatizo ni dini gani?
 
Tatizo hayo mapungufu wanayazidisha
Polisi wengi wanafanya kazi zao to the best of their abilities.

Hebu jiweke kwenye nafasi yao: umepewa amri na wakubwa wako, unapaswa uitekeleze bila kuhoji au usipofanya hivyo hauna kazi.

Nyumbani una familia inakutegemea, hauna chanzo wala taaluma nyingine ya kukuingizia kipato. Utafanyaje?

Askari wote wanapaswa kuwa na nidhamu ya kutekeleza amri bila kuhoji.

Tunawalaumu na kuwachukia bure tu. Hizo lawama zipelekeni kwa wakubwa wao.
 
Pumbafu kabisa lieua askari wetu wawili, hili wangelikamata wakalinyoa ndevu kwanza, halafu minya pumbu mpaka aseme nani kamtuma, pumbafff
na lenyewe litakuwa sometimes zina charge likaona mateso nitakayopata baada ya hapa ni bora nikauone moto wa akhera tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…