Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Video ninayo ubalozi wa ufaransa aliupa mgongo huyu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HUNIAMBII KITU KUHUSU YESUHiyo picha sio ya Yesu bana...
Hata vibaka wanaopiga watu nondo na majambazi wanaokuvamia kukupiga na hata kukuua ni ndugu, baba, mama, kaka zetu katika jamii. Tuweni na huruma.Ndio sijakataa polisi wengi ni waonevu. Ila katika mazingira ya kazi zao inabidi watii na wafuate amri. Polisi siyo watu baki ama wahamiaji ni ndugu, baba, mama, kaka zetu katika jamii. Ni mfumo ovu wa hiki chama ndo unapelekea uhasama kwenye jamii na siyo polisi tu.
Tuweni na huruma. Yote yatabadilika kama Rais Lissu makamu wake Mwalimu na waziri mkuu FREEMAN AIKAEL MBOWE watakapochukua mamlaka kamili 2025.
We will live in harmony Forever!
Maswali ni mengi..
1.Kwa nini alivaa viatu vya aina mbili tofauti?
2.Kwa nini amejitoa mhanga afe?
I love Him but the guy on that photo is not Him.IF YOU DON'T LOVE JESUS WHO THE HELL WILL YOU LOVE?
Dini huwafundisha haki,Sasa inapotokea hakuna haki ndo tatizo huanzia hapoWatu wengi wanaoongoza Vikundi vya Kigaidi hawanaga lazima Ukute wamesomea masomo ya dinii sasa sijajua hii dini huwa inafundishaga nini kuhusu ugaidi.
Utaunganishwa kuisaidia polisi kuwa makiniNimeipigia hio namba yake inaita tuu
Mkuu umeupiga mwingi, kwa taarifa zinazotajwa mpaka sasa yule ni mshambulizi,Nashindwa kuelewa kwanini anaripotiwa kama JAMBAZI. Yule sio JAMBAZI hana qualification za JAMBAZI yule ni MSHAMBULIAJI.
Anyway kwakuwa wakubwa hawapendi kukosolewa watasema ni JAMBAZI aliyeiba kwa kutumia silaha silaha ya Askari.
Yote kwa yote uzembe ni mkubwa kuliko ujuzi ukifatilia idadi ya risasi zilizomiminwa na askari ni zaidi ya 50 one or two targets ni aibu ,najiuliza bora alisahau mabomu?Tukio linaonyesha limekuwa planned yaani "Dar ipo Salaama mara pah pah pah"
Uko sahihiVideo ninayo ubalozi wa ufaransa aliupa mgongo huyu
Huyo ni mlinzi wa kampuni za ulinzi binafsiYule askari angeenda na bomu la kurisha na mkono, alivyokuwa amesogea vile angeweza kuwin kirahisi sana.
lkn nimechoka baada ya kumwona anatoa ishara kwa wenzake huku amempa adui kisogo..nikasema "ONA HII NANGA"