Kennedy
JF-Expert Member
- Dec 28, 2011
- 54,894
- 64,043
ππππππ£π£π£Ile ni demo imetumwa muvi kamili inakuja
Nawaza tu hapa msinipopoe bure
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ππππππ£π£π£Ile ni demo imetumwa muvi kamili inakuja
Nawaza tu hapa msinipopoe bure
Kweli kabisa.. ushakutana na wale ambao wakikaa cow girl Ziwa linakuwa linatekenya kifua br?..[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]Ila kwa kweli tunapenda mabinti wenye Maziwa makubwa hata ukimpeleka ukweni usiulizwe maswali,flati kifuani haifai.Niko pamoja na mama.
Yani hakuiona tu angeiona ndio bus nzima wangekufaInakuwaje wanajamvi!
Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!
Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.
Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
Hivi ndo aliyefariki maana ripoti inasema mlinzi 1 ameuawa piaHuyo ni mlinzi wa kampuni za ulinzi binafsi
Perhaps DevilIF YOU DON'T LOVE JESUS WHO THE HELL WILL YOU LOVE?
Askari apokonywe bunduki!?Angekuwa Yule Baba Yupo Iigiipii Angefutwa Kazi Leo
Hv huyo jamaa aliyezungushiwa duara alikuwa akiomba kwa bidii!!Inakuwaje wanajamvi!
Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!
Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.
Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.
Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
Na ameanzia kwenye mataa wala hakua na mpango na ubalozi.Video ninayo ubalozi wa ufaransa aliupa mgongo huyu
Kabisa Yaani Angevua Vyeo WatuAskari apokonywe bunduki!?
dingi asingeacha mtu hapa
Da jamaa atakua kajiharia. Usiombee yakukute.Hv huyo jamaa aliyezungushiwa duara alikuwa akiomba kwa bidii!!
wakuu ndio mjue bongo hakuna kitu, unamkosaje mtu kwenye open space vile ? askari wanajua kupiga chadema tu...wangeambiwa chadema wanaenda pale wangeenda na gari nane hahaha nimecheka leo, hawa askari....
Nmemuonea huruma. Hapo anawaza kifo hiki hapaHv huyo jamaa aliyezungushiwa duara alikuwa akiomba kwa bidii!!
Step Maa hana habari anaamini wasaidizi wake ni malaika.Askari apokonywe bunduki!?
dingi asingeacha mtu hapa
Mkuu kusalenda kwake ni alikuwa akinyoosha mkono mmoja huku mkono wa pili akiendelea kuishikilia bunduki sasa ni kusalenda gani huko mkuu..? Hadi alipoanguka chini kwa risasi polisi walimfuata na kuichukua bunduki wakati bado anaishikilia...You don't know chuma wewe..[emoji28]
Kwa kiwango naona wamejitahidi mkuu haya mambo ni hatari mkuu sikia tu,nilichoona walichokosea ni kuwa muhalifu alisalenda mashambulizi yakaendelea! Hili nalo lakuangalia mara mbili aidha angeenda na mtu hata kama amejisalimisha muhalifu nae huwa anaplani nyingi mno anaweza taka mtu wa kutoroka nae..
Mmmhπ³π³π³π³π³π³!!
Anaesema Tanzania hatuna furaha apimwe....π