Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Inakuwaje wanajamvi!

Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!

Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.

Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.

Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
Yani hakuiona tu angeiona ndio bus nzima wangekufa
 
Naamini kabisa sio tukio la kigaidi, bali ni mtu amevutugwa tu akili okamtoka kidogo ndio hayo yote yakatokea, bahati mbaya sana kwetu kila tukio linalotokea tunalinalinasinibisha na siasa! Na kuja na matokeo ya jumla kwa kitu ambacho mtu anakitasfiri kwa mapenzi na ufuasi wa chama cha siasa!

Bahati mbaya nyingine ni police wetu kupoteza ushahidi muhimu, kwa jeshi lenye weledi, vifaa na ushirikiano hili tukio ni dogo sana kiasi ambacho wangeweza kumkamata kabla hajaleta madhara.
 
Inakuwaje wanajamvi!

Bwana Yesu asifiwe na awabariki wote hadi mshangae!

Tukio la kuogopesha la kigaidi leo lililopelekea kupotea kwa maisha yasiyokuwa na hatia ni tukio la aina yake.

Nimechunguza ile Coaster Gaidi alisimama kando yake ilikuwa na picha ya Yesu nyuma.

Bwana ndie mchungaji wetu hatutapungukiwa na kitu. View attachment 1908233
Hv huyo jamaa aliyezungushiwa duara alikuwa akiomba kwa bidii!!
 
wakuu ndio mjue bongo hakuna kitu, unamkosaje mtu kwenye open space vile ? askari wanajua kupiga chadema tu...wangeambiwa chadema wanaenda pale wangeenda na gari nane hahaha nimecheka leo, hawa askari....

Yaani mkuu inashangaza kabisa..risask mvua zote holaaa.

"Twatwa..twatwa..twatwatwatwatwatwaaaaaa..twa..twatwatwaaa...twatwatwatwaaaaa..."

lijamaa ndo kwaaanza linajipiga piga kifuaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
You don't know chuma wewe..[emoji28]

Kwa kiwango naona wamejitahidi mkuu haya mambo ni hatari mkuu sikia tu,nilichoona walichokosea ni kuwa muhalifu alisalenda mashambulizi yakaendelea! Hili nalo lakuangalia mara mbili aidha angeenda na mtu hata kama amejisalimisha muhalifu nae huwa anaplani nyingi mno anaweza taka mtu wa kutoroka nae..
Mkuu kusalenda kwake ni alikuwa akinyoosha mkono mmoja huku mkono wa pili akiendelea kuishikilia bunduki sasa ni kusalenda gani huko mkuu..? Hadi alipoanguka chini kwa risasi polisi walimfuata na kuichukua bunduki wakati bado anaishikilia...
 
Back
Top Bottom