Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu
Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa...www.jamiiforums.com
Pumba tupu, unashauri nini utopolo huu peleka kijiweni....Ushauri kwa Intelejensia ya Polisi:
1.Mnakumbuka mtandao wa watu wanaovusha "raia kutoka pembe ya afrika"(Halafu tunadaganywa kuwa ni waethiopia"wamekamatwa wakielekea Msumbiji au Afrika Kusini.
2.Wizara ya mambo ya ndani imeshawahi kuomba fedha ya kufunga mashine za "scan" ili raia wa kigeni wanaoingia nchini picha zao zichukuliwe na kuwa kwenye kumbukumbu za Idara ya Uhamiaji??(Leo kazi ingekuwa ndogo, maana tungesoma mfumo wa "data" za wageni walioingia, waliopo na wanatokea wapi na nani ni mwenyeji wao, watakaa nchini kwa muda gani na kwa shughuli ipi?!!).
3.Je?!zile camera za mitaani zilifungwa,zinafuatiliwa zifungwe maeneo muhimu.Maana naiona fedhaa nyingine ,kama ubalozi wa ufaransa na taifa lolote la nje likitoa taarifa ya mtu aliyefanya tukio hili halafu sisi tuishie kusema "uchunguzi" unaendelea.
Nawashauri vyombo vya dola:
1.Chukua picha, twende nchi jirani kwa ajili ya "scan" tujue ametokea wapi, tujipange kushughulika na mtandao wa mhalifu huyu.
2.Mjikumbushe/muwakumbushe wanasiasa/watawala umuhimu wa vyombo vyetu vya dola kuishi kitaaluma zaidi badala ya kuishi kisiasa,matokeo yake kutumika kisiasa na hivyo kupoteza muda wa kulinda maslahi ya taifa, na kukimbizana na raia wanaotafuta haki zao za kikatiba kutoka kwa watawala.
Huyo alie-edit angepunguza ukubwa wa kichwaTena kada mkubwa ndio maana alijiamini sanaView attachment 1908349
Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu
Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa...www.jamiiforums.com
Mwana kabisa,Ebwanaee....kumbe mwana kabisa
Ona sura za magaidi wenzake!! Ccm wanavuna walichopanda!!Tena kada mkubwa ndio maana alijiamini sanaView attachment 1908349
Sawa mkuu,nitafika,umesema chumba namba ngap[emoji23]Kumbe unamfaham kesho asubuhi njoo kituo cha police central kwa mahojiano,, usipokuja tutajua namna ya kukupata asante,,
Hii mambo kama.ni kweli itaondoka na wengi[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...
Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Nakuongopea bwana wee,, mishe zangu mie dalaliSawa mkuu,nitafika,umesema chumba namba ngap[emoji23]
mkuu nimeona gari moja vagi lote lile ila mkutano wa act gari kuminatano...askari hatuna aisee nimecheka leo yule dogo mwanaumee...alooh hatari mkuu....Yaani mkuu inashangaza kabisa..risask mvua zote holaaa.
"Twatwa..twatwa..twatwatwatwatwatwaaaaaa..twa..twatwatwaaa...twatwatwatwaaaaa..."
lijamaa ndo kwaaanza linajipiga piga kifua😂😂😂😂😂😂😂
Yule aliyepigwa ya paja pale ubalozini ngumu kufaMimi nikiwaza Askari Watatu na Mlinzi mmoja wa SGA wapo Mochwali inauma sana. Sasa sijajua, yule askari aliyepigwa pale nje ya Ubalozi wa Ufaransa, akijaribu kumuua huyo Mhalifu kwenye Kibanda sijui kapona? Maaana alipigwa Risasi na Hilo lijamaa.
Hamza ni mubaya kaua kiki ya Manara na Yanga, pamoja na kina gwajimaNijuacho mimi hamza kawapoteza kabisa yanga. Jezi zimeyayuka, manara sio ishu tena!
Hamza katili sana...
Ni audio sijui jinsi ya kuweka humuItupie basi tuione
Polisi ni wadhulumaji,unakumbuka wafanyabiashara wa madini toka mahenge walichofanyiwa na akina Zombe?Kuna habari mpya humu tena kuwa jamaa alikuwa mchimbaji wa dhahabu Chunya
Yaani hiyo ndio imenishtua tena ila tuombe ukweli uwekwe wazi kama ilikuwa ni dhulma au
Mwanaume wa Darmkuu nimeona gari moja vagi lote lile ila mkutano wa act gari kuminatano...askari hatuna aisee nimecheka leo yule dogo mwanaumee...alooh hatari mkuu....
Huyu siro ni mpumbavu sana. Unafikiri kuchezea na ugaidi kuwabambikia cases kina mbowe ili wamwokowe sabaya basi kumaliza?Duh...!.
Endelea kutu update!.
P
Mwana kabisa,
Yaan acha tu,ila nadhan kuna kitu aisee
Polisi ni wadhulumaji,unakumbuka wafanyabiashara wa madini toka mahenge walichofanyiwa na akina Zombe?