Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi


Total hiyo
Na kweli hapa kuna mchezo wanacheza
Ngoja tusubiri reports zijazo ingawa tunafichwa mengi na hakuna freedom of information [emoji3482] sio huru sana
 
Ushauri kwa Intelejensia ya Polisi:
1.Mnakumbuka mtandao wa watu wanaovusha "raia kutoka pembe ya afrika"(Halafu tunadaganywa kuwa ni waethiopia"wamekamatwa wakielekea Msumbiji au Afrika Kusini.
2.Wizara ya mambo ya ndani imeshawahi kuomba fedha ya kufunga mashine za "scan" ili raia wa kigeni wanaoingia nchini picha zao zichukuliwe na kuwa kwenye kumbukumbu za Idara ya Uhamiaji??(Leo kazi ingekuwa ndogo, maana tungesoma mfumo wa "data" za wageni walioingia, waliopo na wanatokea wapi na nani ni mwenyeji wao, watakaa nchini kwa muda gani na kwa shughuli ipi?!!).
3.Je?!zile camera za mitaani zilifungwa,zinafuatiliwa zifungwe maeneo muhimu.Maana naiona fedhaa nyingine ,kama ubalozi wa ufaransa na taifa lolote la nje likitoa taarifa ya mtu aliyefanya tukio hili halafu sisi tuishie kusema "uchunguzi" unaendelea.

Nawashauri vyombo vya dola:
1.Chukua picha, twende nchi jirani kwa ajili ya "scan" tujue ametokea wapi, tujipange kushughulika na mtandao wa mhalifu huyu.
2.Mjikumbushe/muwakumbushe wanasiasa/watawala umuhimu wa vyombo vyetu vya dola kuishi kitaaluma zaidi badala ya kuishi kisiasa,matokeo yake kutumika kisiasa na hivyo kupoteza muda wa kulinda maslahi ya taifa, na kukimbizana na raia wanaotafuta haki zao za kikatiba kutoka kwa watawala.
Pumba tupu, unashauri nini utopolo huu peleka kijiweni....
Kafe mbele na hao vibaraka wa CCM, na ingefaa angekula vichwa vya kutosha
Sisi tunafurahi kwa kwenda mbele
 

Kuna habari mpya humu tena kuwa jamaa alikuwa mchimbaji wa dhahabu Chunya
Yaani hiyo ndio imenishtua tena ila tuombe ukweli uwekwe wazi kama ilikuwa ni dhulma au
 
[8/25, 7:31 PM] First Born: Alikua anaenda kumuhuzia mtu dhahabu maeneo ya masaki police wakamkamata so wakat wanaenda kituo salander
[8/25, 7:31 PM] First Born: Polisi ndio chanzo aise walitaka kumzulumu
[8/25, 7:31 PM] First Born: Wakaingia chobingo hili wamalizane police wakaleta tamaa yenye akawawahi na sirahara yake ndogo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo anamigodi ya dhahabu kule chunya aliachiwa na baba yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyu dogo nakaa nae mtaa mmoja police ndio wamemzungua madini yake
[8/25, 7:31 PM] First Born: Jana usiku tulikua nae mtaa I aise police ndio wameleta tamaa zao tu
[8/25, 7:31 PM] First Born: No dogo mmoja cool sana
[8/25, 7:31 PM] First Born: Baada ya hapo akachukua hizo 47 ndio kuuza kupiga hivyo huku akisema anataka police
[8/25, 7:31 PM] First Born: Ata cc tunashangaa sana kutokea hivyo
[8/25, 7:31 PM] First Born: Huyo dogo sio jambazi kabisa yani
[8/25, 7:31 PM] First Born: Inasikitisha sana... Kumbe polisi ndio walisababisha hii shida yote... Uchunguzi wa kina na wauwazi utaitajika...

Sent from my Infinix X680 using JamiiForums mobile app
Hii mambo kama.ni kweli itaondoka na wengi
 
Yaani mkuu inashangaza kabisa..risask mvua zote holaaa.

"Twatwa..twatwa..twatwatwatwatwatwaaaaaa..twa..twatwatwaaa...twatwatwatwaaaaa..."

lijamaa ndo kwaaanza linajipiga piga kifua😂😂😂😂😂😂😂
mkuu nimeona gari moja vagi lote lile ila mkutano wa act gari kuminatano...askari hatuna aisee nimecheka leo yule dogo mwanaumee...alooh hatari mkuu....
 
Mimi nikiwaza Askari Watatu na Mlinzi mmoja wa SGA wapo Mochwali inauma sana. Sasa sijajua, yule askari aliyepigwa pale nje ya Ubalozi wa Ufaransa, akijaribu kumuua huyo Mhalifu kwenye Kibanda sijui kapona? Maaana alipigwa Risasi na Hilo lijamaa.
Yule aliyepigwa ya paja pale ubalozini ngumu kufa
 
Hii ni mission, kuna watu walikuwa wanajaribu jeshi na sasa wamepata jibu kuwa jeshi letu kuna sehemu halipo sawa.
 
Mwana kabisa,
Screenshot_2021.jpg
 
Back
Top Bottom