Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 32,406
- 55,148
Lazima kuna sababu za msingi sana kwa Msumbiji kuomba msaada wa kijeshi Rwanda kukabili waasi badala ya Tanzania ambao wana undugu nao wa damu
Kuna wakati Tanzania ilijulikana kwa umahiri katika mapambano ya kivita, na jeshi letu JWTZ liliaminika sana katika uwanja wa mapambano. Hata waasi sehemu kama DRC walikuwa wakisema wazi, kwamba hawakuogopa kukabiliana na jeshi jingine lolote isipokuwa JWTZ ndio waliwaogopa sana. Tulijenga sifa...www.jamiiforums.com
Total hiyo
Na kweli hapa kuna mchezo wanacheza
Ngoja tusubiri reports zijazo ingawa tunafichwa mengi na hakuna freedom of information [emoji3482] sio huru sana