ndandambuli
JF-Expert Member
- Jul 2, 2017
- 948
- 641
Awe na matatizo ya akili halafu awalenge baadhi ya watu inawezekana?vyombo vya usalama mpka sasa hivi havijamdhibiti?? Kwanza inaonekana ni mtu mwenye matatizo yake ya kiakili. Hana madhara makubwa
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] omba ya yasikukute,yupo uvunguni mwa bajajiMbona kwenye bajaji hamna mtu? Imefikaje fikaje hapo bila mtu[emoji3]
Sio kumng'oa meno tu ni pamoja na kumlazimisha aseme katumwa na MboweHilo gaidi enzi zangu namjeruhi bega ili nikamng'oe meno bila ganzi
Mkuu ugaid n mpana sana na usijiwekee mpaka katika mambo nyeti kama haya. Gaid ama ugaid haujawah taki kikubwa ila kama lililotokea. Kwa wakati wako jitahid kusoma sheria ya ugaidi pia kujifunza viashiria vya ugaid namna ugaid unavyopenya.pia na malengo ya magaidi.
Mkuu mm nilijaribu jana na jina likatokea la hamza MohammedNilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Nahisi labda ana Business visa/resident hapa nchini,nikimcheki muonekano wake sio wa kibantuRetailer name itakuwa inahusika na nini hapo?
Kuna mambo mengine hayahitaji kiherehere kabisa,sasa alimpigia ili iweje na mtu ameshakufaJiandae kuunganishwa na marehemu maana namba zote zilizopo kwenye simu yake na zile zinazoingia zitafuatiliwa kwa umakini mkubwa
Believe it or leave it huyu kijana ni mwana itikadi yaani amebeba mafundisho Takbiriiii....Huyu kijana siyo gaidi, inaonekana alikuwa na frustration zake na serikali.
Mtego ule kwa jeshi letu la polisi.Jamaa alikuja na bastola tu akaua polisi na kuchukua Silaha zote zile toka kwao...!! Inafikirisha sana yani..
Tunavo ongea hapa mimi na wewe ni kwamba he's under arrest, one man down π π π πUmeliwa tayari[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaan hapo utakamatwa, sasa kuachiwa sio leo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona Mzungu ,mchina anapewa mgodi why msomaliNgojeni uchunguzi huru ufanyike. Kumbe aliyedhulumiwa ni baba yake? Msomali anapewa migodi Tanzania? Kwanini hakwenda kwenye vyombo vya dola au kuwashughulikia wabaya wa baba yake? Je huyo mlinzi aliyeuawa naye alikuwa na kosa gani? Ugaidi kwa tafsiri ya haraka ni kusababisha terror kwa wengine. Hivyo, alichofanya ni ugaidi na walichokuwa wamefanya polisi kama ni kweli ni dhuluma.
Polisi waliporwa silaha mkuu usibishe,hamna polisi mule!Oya wazee, em tumieni akili hata ndogo tuu. Video za mwanzoni ni ile yupo karibu na daladala na bajaji huku tayari akiwa na silaha akipiga juu sasa kama polisi walinyang'anywa silaha ilikuwaje mpaka yupo pale karibu na daladala hakuna polisi kuja kumshambulia mana alipora silaha...
Le Mutuz naye Kuna Wizi na unyanganyi wa mali za watu unaofuata taratibu??? Ujumbe gani Le Mutuz anataka kutupatia?
Tuzitumie dini vizuri, tukemee yale yaliyo kwenye maagano ya kale, mtume alikufa akiwa na ngeu alikuwa mfia dini na sisi tunataka tufe na ngeu kama mtume daaah πππMtoto wa juzi kabisa amemezeshwa imani potofu matokeo yake ndio haya sasa amekufa bado mdogo kabisa
Swali langu, hao police waliuawa baada ya kuporwa hizo silaha.? Walikuwa wangapi.? Jamaa alikuwa na silaha zaidi ya mbili sasa police wa kwanza alivoporwa silaha huyo police mwingine akawa anaangalia tuu.?Polisi waliporwa silaha mkuu usibishe,hamna polisi mule!
Wamezoea kukamata wanawake tu na wanasiasa wasio na silaha.
The picture is crystal clear,wewe tu ndo kipofu
Wanahabari wakongwe wengi walikuwa wanajitahidi sana kuboresha maarifa yao kila mara ili kuongeza ufanisi wa utendaji kazi, hawa wa siku hizi akishapata umaarufu, followers kwenye mitandao ya kijamii na kupewa dili za matangazo wanakuwa wameshafika ukomo wa kujiongeza !100% Mkuu, Masoud Masoud aliwahi kusema waanfishi habari wengi Bongo hawana ufahamu wa mambo. Leo nazidi kumuamini.
Yaani unamsikiliza mtangazaji redioni anakomalia JAMBAZI, JAMBAZI, JAMBAZI.
Huyo jamaa hakuwa gaidi,angeanza na huyo boda aliempeleka hapo inawezekana lisemwalo lipo kadhulumiwa na polisi,wasomali hawajawahi kuniangusha hata siku moja wana roho ngumu balaa.Gaidi anayeacha raia sio?
Bahati mbaya ana Kadi ya ccm, angekutwa na Kadi ya chadema ingefutwa siku hio hio.Huyu ni gaidi period.
Polisi wajitafakari sana
Msako uanze haraka sana mpakani Namanga na vitongoji vyake