Kwani kichaa ulishaona anafanyia kila mtu fujo?Awe na matatizo ya akili halafu awalenge baadhi ya watu inawezekana?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani kichaa ulishaona anafanyia kila mtu fujo?Awe na matatizo ya akili halafu awalenge baadhi ya watu inawezekana?
😂😂😂😂 Wanapuuza au hamna majibu ila mnaongea kiushabiki.?Tafuta habari aisee badala ya kupoteza muda wako kuuliza maswali ambayo watu wanayapuuza
Hili gaidi kuua askari wawili ni uzembe wa askari... limezunguka muda mrefu, askari walikuwa wapi?
Kwa jeshi letu hili sio la kushangaza. LimewabumiaHuyo jamaa hakuwa gaidi,angeanza na huyo boda aliempeleka hapo inawezekana lisemwalo lipo kadhulumiwa na polisi,wasomali hawajawahi kuniangusha hata siku moja wana roho ngumu balaa.
Makarao Wa bongo sio binasamu wema,huko CCP hufundishwa namna ya kuibia na kutesa watu.
Hao waliokufa, walikufa wakati wanapokonywa silaha au wakati wa mapambano.?Wewe ndio huna akili.
Polisi wanne wamefariki.
Kwa hiyo huyo msomali alienda kuwaomba hao polisi waliokufa hizo silaha au siyo?
Akili pumba kabisa!
Ktk mapambano,kupora silaha uwa haijalishi wameporwa wakiwa hai au wamekufa..Swali langu, hao police waliuawa baada ya kuporwa hizo silaha.? Walikuwa wangapi.? Jamaa alikuwa na silaha zaidi ya mbili sasa police wa kwanza alivoporwa silaha huyo police mwingine akawa anaangalia tuu.?
Viherehere vingine bana ,ngoja uje upewe kesi ya kuwa mfadhili wa huyo gaidi.Nilijaribu kutuma pesa Kwenye namba ya Simu tajwa hapo juu Kwenye kitambulisho[emoji116]View attachment 1907968
Hamza ameonyesah kuwa ni mzoefu sana, lazima kuna jambo kubwa sana nyuma linalopaswa kuchunguzwaKtk mapambano,kupora silaha uwa haijalishi wameporwa wakiwa hai au wamekufa..
Ushaihidi wa kuporwa uko wazi maana Hamza ameonekana akiwa na silaha za polisi. Awali alikuwa na bastola tu aliyoitumia kuua na kupora AK47
Hahaha mkuu wewe noma, nadhani walikufa wakati wa mapambano, kuna clip moja nimeona hamza amemfyatua risasi ya mguu askari, halafu ana shabaha ile mbayaHao waliokufa, walikufa wakati wanapokonywa silaha au wakati wa mapambano.?
Hilo swali linawafaa CCMHamza ameonyesah kuwa ni mzoefu sana, lazima kuna jambo kubwa sana nyuma linalopaswa kuchunguzwa
Na Mungu ajalie maana hayo mambo hatatafuna taifa na kila aliye juu ya uso wa duniaAsante kwa hilo
Kama ni kusoma naelewa upana wake kwa kiasi changu ila siwezi kuhukumu kwa kusoma Jf na kufikia uamuzi
Siku hizi mataifa kama USA wamejifunza kutokukurupuka kwa kutamgaza haraka genge la watu bali husubiri kwanza upelelezi
Kama yaliyotokea Oklahoma au hujamsoma huyo na conclusion aliofikia Rais wa wakati huo? Na baadae upepo kubadilka?
Mda utaongea na kama ni Terror attack yatajulikana
Tuombe yasiwe hivyo
Pigs are always dirty 😆😆I almost asked you a question, but then I caught my tongue halfway!!
To hell with all the filthy pigs!!!
Mbona nawe huja dai hak zako kwa namna hyooo? Usitaki niaminisha katka upande wa uovuniKama mifumo yote ya kudai haki imeoza unataka akadai haki wapi?View attachment 1908734
Mbona nawe huja dai hak zako kwa namna hyooo? Usitaki niaminisha katka upande wa uovuniKama mifumo yote ya kudai haki imeoza unataka akadai haki wapi?View attachment 1908734
Magaidi nao Wana ji adjust ka kirusi tu Cha corona kina variant sembuse wahalifuInawezekana hilo pia
Ila Gaidi kaacha kushambulia Ubalozi na wananchi anawaambia ondokeni pia kuongea na yule mtoto na kuwaambia madereva waondoke na magari yao
Ugaidi upo ila hii sio mbinu za kigaidi labda iwe mbinu mpya
Kama ni Gaidi asingeenda kukaa kwenye kibanda cha Ubalozi kujihami
Habari hii nilipoiona nilijua ni ugaidi kwa jinsi ulivyoelezewa na zile picha ila sasa Vumbi limeanza kutulia
Tutayajua mengi zaidi
Gaidi haongei na watu na hatujawahi kuona maana huo mda hana kabisa
We ndio mwendesha mashtaka, umeandika "mavi" tu hapa!Mbowe ana tuhumiwa kwa kuwa rubuni na kuwatumia wanajeshi walio ondolewa ktk Jeshi ktk vitendo vya Kigaidi na dhidi ya Serikali.
Kitendo cha kuwa tumia waliopo au walio kuwepo ndani ya Chama au ktk Jeshi au ktk Serikali haiwezi kuhalalisha vitendo vya Kigaidi hata kidogo...