Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Walikuwa wapi?
Hao polisi waambie kuna kikao cha Chadema au Mbowe anaandamana huko na wenzake. Utaona ndani ya dk 1 wameshafika na bunduki km zote.
Niliona sehemu wananchi wanaandama kuhusu mashamba. Wananchi walitaka walime mpk waingie kwenye hifadhi.
Walikuja wanajeshi tena mmoja alibeba mpk RPG ile ya kutungua denge.
Hili gaidi kuua askari wawili ni uzembe wa askari... limezunguka muda mrefu, askari walikuwa wapi?
 
Kwa jeshi letu hili sio la kushangaza. Limewabumia
 
Wewe ndio huna akili.

Polisi wanne wamefariki.

Kwa hiyo huyo msomali alienda kuwaomba hao polisi waliokufa hizo silaha au siyo?

Akili pumba kabisa!
Hao waliokufa, walikufa wakati wanapokonywa silaha au wakati wa mapambano.?
 
Swali langu, hao police waliuawa baada ya kuporwa hizo silaha.? Walikuwa wangapi.? Jamaa alikuwa na silaha zaidi ya mbili sasa police wa kwanza alivoporwa silaha huyo police mwingine akawa anaangalia tuu.?
Ktk mapambano,kupora silaha uwa haijalishi wameporwa wakiwa hai au wamekufa..
Ushaihidi wa kuporwa uko wazi maana Hamza ameonekana akiwa na silaha za polisi. Awali alikuwa na bastola tu aliyoitumia kuua na kupora AK47
 
Ktk mapambano,kupora silaha uwa haijalishi wameporwa wakiwa hai au wamekufa..
Ushaihidi wa kuporwa uko wazi maana Hamza ameonekana akiwa na silaha za polisi. Awali alikuwa na bastola tu aliyoitumia kuua na kupora AK47
Hamza ameonyesah kuwa ni mzoefu sana, lazima kuna jambo kubwa sana nyuma linalopaswa kuchunguzwa
 
Hao waliokufa, walikufa wakati wanapokonywa silaha au wakati wa mapambano.?
Hahaha mkuu wewe noma, nadhani walikufa wakati wa mapambano, kuna clip moja nimeona hamza amemfyatua risasi ya mguu askari, halafu ana shabaha ile mbaya
 
Na Mungu ajalie maana hayo mambo hatatafuna taifa na kila aliye juu ya uso wa dunia
 
NAWAZA YALE YA SINZA JAMAN HIVI ILE KESI WALIFUNGWA AMA.WALITOKA
INSP...
 
MWENYEKUJUA HALI YA HUYU BW SAAHIZI ATUJUZE....GAIDI ANAMWACHA JE HUYU

 
Magaidi nao Wana ji adjust ka kirusi tu Cha corona kina variant sembuse wahalifu
 
UONGOZI WA YANGA UMEWAPA POLESANA WAFIWA WOTE MUNGU AWAPE FARAJA WAKATI HUU MGUMU WA MAJONZI

 
YAAANI YANAYOKUJA YANAFURAHISHA SANAA SANA NGOJA TUSIKATE TAMAA.....
 
We ndio mwendesha mashtaka, umeandika "mavi" tu hapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…