MabatiBeiNafuu
Member
- Aug 24, 2021
- 72
- 65
Jamaa kama vile komando Kipensi. Full Kujiaminiiii Duuh!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauli zetu huwa ni karma wakati mwingine hatari tupu. Maza aliongea tu bila kujua kumbe muda huo huo kuna kichaa yuko kaziniNi dakika chache zimepita MAZA amesifia na kusema Dar imetulia kwa ajili ya mapolisi na naona wezi wameamua kumjibu
Ngoja akafaidi mabikira wake alichoshwa na hawa wa huku dunianiAkikimbia atafikaje akhera huoni kama walipokuwa wanamkosakosa alikuwa anawaoneshia wapige kifuani ili awahi akhera.
Uwezo wa police wetu ni kudhibiti wapinzani tu.Polisi mbona hapo hatuwaoni wamefika?
Mbona hawajadhibiti au intelijensia haikufanya kazi?
Hizo ofisi ziko equipped for a rapid emergency response?
Maana yawezekana hizo ofisi ni za bureaucrats tu na hazina muundo na uwezo wa rapid response.
Ilo ni jaribio la kigaidi mshambuliaji kufa ndio lengo ili asitoe taarfa akikamatwaProfessional gani anatembea kwa uwazi bila kuwaza atafyatuliwa muda si mrefu
Yaani mtu anatoka kusikojulikana mchana kweupe anaenda kituo cha polisi na kupora silaha kwa ulaini kisha anaanza vitisho vya kigaidi hadharani kimsingi usalama umepungua sana watu wanavamiwa ovyo.Guys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic
View attachment 1907510
View attachment 1907511
View attachment 1907519
Hii ni developing news…
Kuna mtu mmoja, kapigwa risasi na kuanguka katikati ya barabara
View attachment 1907602
View attachment 1907621
View attachment 1907645View attachment 1907646
Huyu anadaiwa kauawa.
Kivuli cha kifo kilikuwa tayari kishamvaaJamaa hakuwa na shida na raia, maana ukiangalia hizo video kuna daladala iko na abiria na hajawafanya chochote.
Atakuwa ameamua ajiue kwa njia hiyo.
Hakuna kitu kinadhibitika 100%. La sivyo unataka hata wewe hapo uwe unalala kwa ruhusaLakini kuna watu wanalipwa mishahara kwa kazi hiyo ya kuzuia? Ni uzembe tu
Hakiya nani vile tena kwa spid ya 5g maana ni Israel anakua yupo aroundHiyo ukiiona tu kwa mbali inabidi upotee faster
Vyombo vyetu vipo tayari muda wote kukamata wapinzani na wanaharakatiUkifuatilia hizi video unagundua kwamba vyombo vyetu huwa havipo tayari muda wowote na popote kupambana na matukio yoyote.
View attachment 1907720
Tanzania nchi ya amani lakini wehu wachache hawakosekani popote.... na kuwa tayari kupambana na matukio kama haya ni muhimu sana
Ni masikitiko makubwa kupata habari ya kuogofya yenye viashiria vya ugaidi.Sipendi kusikia habari za UGAIDI, uliza AFGHANISTAN utajua nini maana ya ugaidiGuys I am informed there’s a guy shooting randomly near Stanbic Bank, anyone with more news?
Inadaiwa kuna watu wameuawa. Ni Karibu na Makao Makuu ya Stanbic...
"Aliwazalo mjinga ndio linalomtokea" afande sele mabange 2004Naona Tanzania tunahitaji magaidi na wameanza kujitokeza.
Huyu jamaa ni gaidiJamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.