yaani wakati mwingine mnaongeaga kama vile kuna ub---o--0 mat-----ko----nSiyo huu ugaidi wa laki 6
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
yaani wakati mwingine mnaongeaga kama vile kuna ub---o--0 mat-----ko----nSiyo huu ugaidi wa laki 6
Hii ni clear suicideHii imekaa kama movie ya utayari jambazi gani hakimbii, hajifichi, hashambulii basi ili apate hata human shield ajaribu kutoroka??
Hakuna bunduki iliyoporwaKumbuka hizo bunduki amepora hao hao vyombo vya ulinzi.. huo nao huoni ni udhaifu wa hiyo system unaipigia promo?
Labda system ya uharoAlafu anakuja mtu anakuambia, system ikitaka ufe unakufa.. for real??? Jamaa linatamba mchana kweupe karibu nusu saa???
Lissu kasema hawa jamaaa zetu (Polisi) they are trained to torture and kill.....Mungu Baba tusameheMi ningekuwa ni polisi ningempiga za miguuni ni mkamate nimuulize katumwa na nani.
Inawezekana kumuua kwake na mtandao wake bado haujajulikana ukaja kusumbua vilevile
Mkuu huu ugaidi utakuwa wa elfu 500000?!yaani wakati mwingine mnaongeaga kama vile kuna ub---o--0 mat-----ko----n
Lazima ukasaidie polisi.....Hivi kama mimi sio polisi nikawa na pistol yangu hapo nikamlenga nkaua ntashtakiwa.
Huyu jamaa atakuwa Msomali, na naamini atapigwa risasi na wadunguaji...
Hao askari nao wameporwaje hizo binduki?Kumbuka hizo bunduki amepora hao hao vyombo vya ulinzi.. huo nao huoni ni udhaifu wa hiyo system unaipigia promo?
Anapigana dhidi ya Merican kuweka (in short wazungu) kuweka vibaraka wao Taliban's pale Af'stan!Jamaa kwenye video anaonekana kavaa kikofia flani hivi chechefu.
What if kwa trend jinsi ilivyo, akamtaja mwanasiasa yeyote maarufu!Wamemuuwa!!?
ilitakiwa aliwe timing akamatwe akaminywe kende aseme yy ni nani!!?
na yupo na kina nani?
Sure wangelenga miguu na mikono...Wamekosea kumuua ilitakiwa wahakikishe wanamkamata akiwa hai ili wambane pumbu aseme yote
Ingekuwa kila msomali ni mhalifu huko Kenya wasingepewa nafasi idara nyeti.....
Magaidi wa kweli wanawakimbiaNyie si mnaupenda sana ugaidi!
Hata mimi nimesema hayo ni maigizo tu mtu mmoja amatembea bila kujikinga hadharani tena wima namna eli??Polisi walioishiwa mbinu na uongo unazidi ndio madhara yake haya , uliona wapi gaidi anaangalia watu na anawageukia wampige picha vizuri? hakuna cha gaidi wala nini haya ni matokeo ya sinema feki za SIro lile lijamaa ni lipolisi mara nyingi linakaaga pale kona ya Serena minyama uzembe flani hivi, hakuna aliyekufa wala nini sanaa za maonyesho hizi, jiulize sehemu sensitive kama ile na leo Rais alikua oficers mess then atokee eti gaidi ana silaha mbili AKA47 , jiulize kapita wapi hadi kafika pale?
Huko alikotoka hawakumuona? yaani Siro ni failure sana hawezi hata kutengeneza tukio, ndiomaana wanasema inteligence means inteligent sasa hawa zero wetu ati ndio wakutegemea, sahau kabisa, wametoka mupigwa vijembe waachie mahabusu wasio na upelelezi mara paap jamaa anapiga selfie na bundukli mbili eneo hilohilo eti gaidi, jamani, hivi Polisi wanatuonaje watanzania?
wala sijakuelewa unamaanisha nini unaharaka sana na kupost au?Mkuu huu ugaidi utakuwa wa elfu 500000?!
Nakuelewa kama ni sinema, ila Kwamba huyu ni askari inatia mashaka, jamaa hana viashiria vya uaskari hata kidogo;atokee eti gaidi ana silaha mbili AKA47 , jiulize kapita wapi hadi kafika pale? huko alikotoka hawakumuona? yaani Siro ni failure sana hawezi hata kutengeneza tukio