Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Wewe utakuwa unaliwa mku.nduyaani wakati mwingine mnaongeaga kama vile kuna ub---o--0 mat-----ko----n
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe utakuwa unaliwa mku.nduyaani wakati mwingine mnaongeaga kama vile kuna ub---o--0 mat-----ko----n
Kweli kabisaUhai ni kitu muhimu sana
Kwa mwanadam kna clip moja
Nlitumiwa jamaa kaacha bajaji
Ova
Marekani hata kama ikitokea ni LAZIMA watajua ni nani, alitoka wapi na alitaka nini, silaha alipata wapi nk Hapa kwetu sahau kujua chochote kuhusu huyo jamaa ndugu, lazima upigwe fix kwamba alikuwa anadai mafao yake pale ubalozi.Ingekuwa hivyo kule marekani wasingekuwa watu kama hao wanaua watu kibao
Chakushangaza kabisa tena hilo eneo very important pakiwa na afisi nyeti za nje na ndani.Nature ya ulinzi wetu wa jiji ni mdogo, nchi za watu waliostraabika CCTV camera za barabarani zingemuonyesha tangia alikotokea hadi kufika hapo eneo la tukio... na alipitaje huko na hiyo mashine kubwa bila kushtukiwa na maaskari.
Unawekewa lita tano ya mafuta kufanya shughuli .... inayohitaji lita kumi. Lita tano za ziada unalipwa baada ya miaka minne au usilipwe kabisa! Huku ndiyo kudata kwenyewe sasa!Askari aliyeporwa ni mzembe kupita kiasi
Na yeye kaua askari wangapi?kamuangalie kama bado anapumua unacheza na jeshi la polisi wewe polisi wetu siyo kama wale wahuni wa mbowe waliompiga lissu asingebaki salama
Inawezekana mkuuu, zinachapishwa fedha bandia sembuse silaha.Lakini bado najiuliza hivi inawezekanaje mtu anaweza kuingiza silaha nzito hizo bila kujulikana? Au kuna kibali kinatolewa kwa Bunduki kama ya huyo jamaa?
Ufaransa iliwapa fedha rwanda ili waende kule msumbuji nahisi ndio maana alienda hukoKuna tukio limetokea hivi punde la mtu hasiejulikana kufyatua risasi hovyo na kuuwa askari , katika tukio hilo mpaka sasa hakuna taarifa za ndani juu ya tukio hilo zaidi ya mitandao ya kijamii kurusha picha za mtu huyo akiwa hai na nyingine akiwa amekufa. Sasa masikio na hamu tele kwa watanzania kujua huyo ni nani ? ametokea wapi? alikuwa anazungumza nini kabla ya tukio kutokea na kabla kuuwawa ? kwanini alielekea ubalozi wa ufaransa au kwanini alikuwa maeneo hayo ya darajani ? kwanini ameanza kushambulia askari ? Interlijensia ya Polisi nchini inasemaje kwa tahadhari? Je, umbo la Interlijensia linasema walikuwa wangapi na walipanga nini hasa? maswali mengi tunayo na tunawasubiri waandishi wetu hapa nchi , mana Marekani kupitia Ubalozi wao wameisha toa tahadhari kwa Raia wake , Je, Raia wa Tanzania wafanye nini ?
Basi jamaa gaidiNa kabla hajawahiwa kulikuwa na msafara anausubiri huenda angemaliza viongozi wetuView attachment 1907813
Mkuu tupiakoUhai ni kitu muhimu sana
Kwa mwanadam kna clip moja
Nlitumiwa jamaa kaacha bajaji
Ova
akili zilizomruka hazikumruhusu kuwashambulia wapita njia na waliokuwa wenye daladala.Inaonekana huyu mtu akili imemruka.
Hayuko sawa.
Kweli mkuu?Hii ya Kenya walikuwa kwenye mafunzo ya utayari halikuwa tukio halisi.
😲😲🤣Unawezekana athari ya chanjo hiyo.Tutaona mengi.