Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Kinondoni, Dar: Hamza Mohammed, Polisi Watatu na mlinzi mmoja wauawa katika Majibizano ya Risasi

Jiji la Simama kwa nusu saa.
kigogo._.2014_1629888779670237.jpeg
 
Nature ya ulinzi wetu wa jiji ni mdogo, nchi za watu waliostraabika CCTV camera za barabarani zingemuonyesha tangia alikotokea hadi kufika hapo eneo la tukio... na alipitaje huko na hiyo mashine kubwa bila kushtukiwa na maaskari.
Chakushangaza kabisa tena hilo eneo very important pakiwa na afisi nyeti za nje na ndani.
 
Askari aliyeporwa ni mzembe kupita kiasi
Unawekewa lita tano ya mafuta kufanya shughuli .... inayohitaji lita kumi. Lita tano za ziada unalipwa baada ya miaka minne au usilipwe kabisa! Huku ndiyo kudata kwenyewe sasa!
 
Lakini bado najiuliza hivi inawezekanaje mtu anaweza kuingiza silaha nzito hizo bila kujulikana? Au kuna kibali kinatolewa kwa Bunduki kama ya huyo jamaa?
Inawezekana mkuuu, zinachapishwa fedha bandia sembuse silaha.
 
Kuna tukio limetokea hivi punde la mtu hasiejulikana kufyatua risasi hovyo na kuuwa askari , katika tukio hilo mpaka sasa hakuna taarifa za ndani juu ya tukio hilo zaidi ya mitandao ya kijamii kurusha picha za mtu huyo akiwa hai na nyingine akiwa amekufa. Sasa masikio na hamu tele kwa watanzania kujua huyo ni nani ? ametokea wapi? alikuwa anazungumza nini kabla ya tukio kutokea na kabla kuuwawa ? kwanini alielekea ubalozi wa ufaransa au kwanini alikuwa maeneo hayo ya darajani ? kwanini ameanza kushambulia askari ? Interlijensia ya Polisi nchini inasemaje kwa tahadhari? Je, umbo la Interlijensia linasema walikuwa wangapi na walipanga nini hasa? maswali mengi tunayo na tunawasubiri waandishi wetu hapa nchi , mana Marekani kupitia Ubalozi wao wameisha toa tahadhari kwa Raia wake , Je, Raia wa Tanzania wafanye nini ?
Ufaransa iliwapa fedha rwanda ili waende kule msumbuji nahisi ndio maana alienda huko
 
Kuna mahala hapapo sawa detection ya hili tukio haikuwepo kweli?mpaka huo msafara unageuzwa na wananchi maana yake hakuna watu hapo mbele ambao walikua wanaconnection na msafara?means hakukua na wafagia barabara?
Huyu jamaa zimetumika risasi nyingi sana zaidi ya 50 na zilizomuangusha hazifiki 4 ...
Ok sawa ni gaidi kwann hakuzimishwa ili tukakae nae chini tujue alikua anataka nini na katoka wapi na wapo wangapi??
Nina jiuliza mengi kichwani....
 
Back
Top Bottom