Abdulhalim
Platinum Member
- Jul 20, 2007
- 17,215
- 3,076
Msumari wa mwisho umepigwa kwene jeneza ?? I mean kabla ya kushushwa futi 6 chini ya usawa wa udongo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu nadhani ulishauriwa toka mwanzo kuchapa mjadala kwa Kiswahili!!!!!!!! Anyways hongera pia kwa kuwa mpiga debe mkomavu!
All these qualification at age 36 just shows you have spent more time in the classroom learning and writing theories than in the real world practising the knowledge.
But hey, who is asking?
Wanajamii, am glad kwa wote waliotoa mchango. I believe Mpoki didn't win, but i admired him for trying.
I know him personal and i give him tano for the decision which was to touch the water. I also admire others who where very critical to challenge his credentials. In the end "The worst thing one can do is not to try, to be aware of what one wants and not give in to it, to spend years in silent hurt wondering if something could have materialized - and never knowin".(David. V)
We all love Tanzania dearly, we can differ on the strategy on how to empower our fellow citizen. I wish everyone uchaguzi mwema, tafadhali shauri wengine kuhusu wagombea bora na sio bola mgombea.
I understand from a reliable inside source kuwa wana jimbo were very very impressed with Mpoki ila kinondoni lazima uwe mwislamu au mswahili meaning wa mwambao mwambao as opposed to mbara ili kuweza kushinda kwani lasivyo ccm nao wanaweza kupoteza jimbo hilo. Hivyo nadhani hongera zinastahili kwa kijana huyu mwenzetu kujitokeza na kuweza kuwaimpress wana jimbo kiasi hiki and I hope ataendelea kujijenga kisiasa na kielimu.
kijana/mzee naona meshindwa kwenye hoja na hata hapa unarudia ze same thing. kama unajua historia ya kinondoni, palikuwepo mzee peter kabisa, je yeye ni muislamu? kinondonikwa sasa imechanganyika saana hivyo suala hili haata kama lipo ni kidogo saana. wewe mwenyewe umeona matokea sehemu nyingi tu kwa mzee malecela, njombe huko etc etc, ni approach yako ndio inaweza kufanya watu wakukubali au wakukatae ukija na majigambo yasiyo na maana utatoa picha isiyo vutia.I understand from a reliable inside source kuwa wana jimbo were very very impressed with Mpoki ila kinondoni lazima uwe mwislamu au mswahili meaning wa mwambao mwambao as opposed to mbara ili kuweza kushinda kwani lasivyo ccm nao wanaweza kupoteza jimbo hilo. Hivyo nadhani hongera zinastahili kwa kijana huyu mwenzetu kujitokeza na kuweza kuwaimpress wana jimbo kiasi hiki and I hope ataendelea kujijenga kisiasa na kielimu.
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni
Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK
But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo
Sussex University ipo Brighton ambapo ni mbali na Birmingham au ulikuwa unataka kumaanisha alisoma Sussex University halafu Birmingham University.
Halafu wewe una majina mangapi?Sorry I meant Brighton my head wasn't there. Apologies.
kijana/mzee naona meshindwa kwenye hoja na hata hapa unarudia ze same thing. kama unajua historia ya kinondoni, palikuwepo mzee peter kabisa, je yeye ni muislamu? kinondonikwa sasa imechanganyika saana hivyo suala hili haata kama lipo ni kidogo saana. wewe mwenyewe umeona matokea sehemu nyingi tu kwa mzee malecela, njombe huko etc etc, ni approach yako ndio inaweza kufanya watu wakukubali au wakukatae ukija na majigambo yasiyo na maana utatoa picha isiyo vutia.
Halafu wewe una majina mangapi?
I think he walks with his academic qualifications cause tz tumekua na wakubwa wengi wanadanganya wamesoma na kuforge certificates so he puts them in the open mzione na anayetaka kufuatilia kama kweli kasoma they can. I hope I am not wrong but nilivyoziona ni Fist degree, LaSalle University, Philladelphia, USA
MBA, Schiller University, London, UK
MA, UCL, London, UK
MPhil, Sussex University, Birmingham, UK
But yeah anyone can then have checks on these to see kama he really did study au kama ni kama wakubwa wetu wengine zilikuwa forged bongo
Sussex University ipo Brighton ambapo ni mbali na Birmingham au ulikuwa unataka kumaanisha alisoma Sussex University halafu Birmingham University.
Mwanzo umepost kama DN mwisho ukapost kama NO NAME.Sorry I meant Brighton my head wasn't there. Apologies.
Public service si ubunge tu, anaweza kufanya kazi za jamii nyingi tu.
Hapa ndipo mnaweza kujua mtu kama anataka ubunge na ukubwa au anataka service. Hivi grassroots organizations ziko wapi? Hivi consumer advocacy groups ziko wapi? Hivi vikundi vya kuongeza literacy na citizenship awareness viko wapi? Hivi organization za grassroot microfinance ziko wapi? Zote hizi zinasubiri watu waanzishe na kuzitumikia, lakini tunaona kila mtu anagombea elected office lakini hatuna grassroot organizations.
Matokeo yake badala ya democracy tunapata electocracy, watu wanapiga kura hata hawajui wanachopigia kura ni nini.
Kwa hiyo personally namuangalia sana Mpoki atafanya nini kwa wananchi now that kakosa nafasi ya kugombea ubunge.Atakachofanya sasa kinaweza kum define vizuri zaidi kuliko hata ubunge.
Mwanzo umepost kama DN mwisho ukapost kama NO NAME.
kijana/mzee naona meshindwa kwenye hoja na hata hapa unarudia ze same thing. kama unajua historia ya kinondoni, palikuwepo mzee peter kabisa, je yeye ni muislamu? kinondonikwa sasa imechanganyika saana hivyo suala hili haata kama lipo ni kidogo saana. wewe mwenyewe umeona matokea sehemu nyingi tu kwa mzee malecela, njombe huko etc etc, ni approach yako ndio inaweza kufanya watu wakukubali au wakukatae ukija na majigambo yasiyo na maana utatoa picha isiyo vutia.
Mkuu what you have said is actually a fact, binafsi sikuona umuhimu wa kuongelea hili ndani ya huu mjadala lakini as part of vetting naona kuna haja Mtanganyika na wanaccm wa Kinondoni wakafahamu. Hasa ukizingatia mgombea anajitangaza kwa msisitizo thru academic achievements. Anyways kama kuna mtu ni mwanaccm wa Kinondoni na in anyhow ata - attend hiyo mikutano ya kampeni amuulize Mpoki the following.
Je alipomaliza Arusha school alifaulu kwenda shule gani?????????? Na ni kwa nnini alihama shule hiyo na kwenda Rungwe sec.??????