Pre GE2025 Kinyang'anyiro cha Urais 2025 kwa tiketi ya CCM: Dkt Mwinyi kuwania Urais wa Muungano?

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kwa hiyo hii nchi Raia wengine hawana haki yaani , watoto wa viongozi tu ndio wanatakiwa kupokezana uongozi !

Tena watoto wenyewe hawana uzalendo wowote ule , Wengine walikataa hata kujiunga na Mafunzo ya JKT kwa kiburi tu , kwa vile Baba zao ni viongozi .

Poor Tanzania !
 
Kwa akili yako unafikiri Mwinyi ndio anaamua kumpinga Samia?


Magufuli mwenyewe hakutaka Samia awe makamu wake ila wenye maamuzi wakalazimisha

..walimlazimisha Magufuli kwasababu alikuwa hajapata Uraisi.

..mtu akiwa raisi wa Tanzania na Amiri jeshi mkuu hakuna yeyote ndani ya mipaka yetu anayeweza kum-challenge na kumpangia nini afanye.


..Raisi wa Tanzania ni sawa na mungu-mtu, chochote anachokitaka kkinatekelezwa. Kwa katiba na mifumo tuliyonayo tunasubiri huruma ya Mama kuhusu kitakachotokea 2025.

..Vilevile msifikiri kwamba Magufuli alikufa na kuzikwa pamoja na genge lake la watesaji. Wale jamaa wapo benchi na Mama akiamua anaweza kuwatumia.
 
Inawezekana pia kwamba uchafuzi ndani ya Chama utawafaidisha wale wanaotaka kurudi UARABUNI, wakiwa nje ya Muungano. rais wa jamhuri ya Muungano siku zote awe wa MUUNGANO kweli, na sio mchana tu. Hata usiku pia.
 


Ndiyo maana hata lile bomu la DP World taarifa ilipenyezwa na mtu wa ndani ya system kwenda CHADEMA ili kumwambia Mama safari yake ni mwisho 2025.
Nakushauri kuzisoma hizo quotation zote na kwa urefu wake.


Wako, Nkaburu.
 
p
kwanza nikushukuru Kwa bandiko lako, naomba nitoe maoni yangu kidogo

1)ulichokieleza na hapa between the lines ni kuwa mama hatokuwa miongoni mwa wagombea wa urais 2025 na ukaja na pendekezo la mwamvuli wa Dr mwinyi, kimsingi umesaidia umma kuuandaa kwako kuwa huenda mama asiwe miongoni mwao..

2)sijajua kama mwandishi(kama nmekulewa vizuri) umepata wapi ushahidi kuwa semaji wa ccm mpya anachukiwa? (A) umezingatia Nini kwenye hoja hii
(B) umeuliza Nan na wapi kujua hlo
(C) makonda anahusianaje na kuwepo au kutokuwepo Kwa mama samia kuwa mgombea urais wa CCM?
(D) utafiti ulioufanya ulizingatia vigezo vipi?
(E) faida za utafiti huo zinainufaishaje jamii ya watz? kwamba rais alikosea au ana plan ipi?

3)badiko lako limekuja kutujulisha kuwa umekuwa mtu wa mwanzo kumwona uliemtaja kuja kuw rais je umetumwa? umeagiZwa? ni maoni? ni utafiti? hisia au maono kama unavyosema kwenye baadhi ya mabandiko yako?

nikushauri Kwa kuwa u mkongwe na kunavijana wanajifunza jiepushe kuingia kwenye kile unachokipenda tukipende wote au unachokichukia tukichukie wote, hata kama ni maoni yazingatie uhuru na mipaka ya hisia na mhemko.

B

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu Boniphace Bembele Ng'wita , kwanza asante.
Pili, bandiko hili limeanza kwa angalizo, ulilisoma hilo angalizo?, ulilielewa?.
Kwa faida yako na ya wengine


P
 
Huenda ikawa ni good move kwa CCM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…