Kinyozi wa kike apandisha mashetani na kuzimia baada ya kugusa kichwa cha askofu Gwajima, aombewa na kuzinduka!

Kinyozi wa kike apandisha mashetani na kuzimia baada ya kugusa kichwa cha askofu Gwajima, aombewa na kuzinduka!

Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Picha, picha, picha
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Haiongezi kura
 
Hili jizi hivi bado linaendelea kuwarubuni kwa maigizo yake
 
Kawe oyeeeeee
IMG-20200930-WA0093.jpg
 
Ni kichwa cha aina gani alichokigusa huyo dada wa saluni??
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Wewe nawe na udaku huu
 
Bomba kafanya wapi ambapo mmewahi kumuona?katika vitabu vitakatifu watu waliacha kazi zao na kwenda kumfuata bwana yesu,ila huyu kaacha neno kaenda kwenye siasa,sipingi MTU kwenda kufanya siasa ila je ni busara neno LA Mungu kuaachwa kwa ajili ya mambo ya dunia?na yeye alishakili kuwa cheo chake alichopewa na Mungu ni kikubwa kuliko ubunge, usijaribu kuchanganya mafuta maji,angebaki na uchungaji wake ambao ulimpa kibali cha kuwahubiria wanasiasa na kuwaonya wanapokosea,watu ni wengi sana ccm angewachia wafanye kazi hiyo,vipi waumini watajisikiaje?nahodha kaacha meli kakimbilia
 
Kudadadeki! usanii na utapeli wake kaamua kuupeleka hadi salon! 🤣 🤣 🤣
Kawe mmeingiliwa😀
 
Huyu.na wale wa bakwata ..ni kitengo.. tena wapo wengi hasa kwenye dini na vyombo vya habari!
 
Back
Top Bottom