Bossie mtoto
Member
- Jul 6, 2020
- 85
- 12
Na wewe katika ubora wako ukionesha Gwajima anavyokutetemeshaNabii & Mtume Gwajima katika ubora wake wa uongo,unafiki & ujinga wa waumini wanaoangamia kwa kukosa maarifa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wewe katika ubora wako ukionesha Gwajima anavyokutetemeshaNabii & Mtume Gwajima katika ubora wake wa uongo,unafiki & ujinga wa waumini wanaoangamia kwa kukosa maarifa
Picha, picha, pichaAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Haiongezi kuraAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
unazani kila aliye kamilika anamawazo kama yako. yaani wewe umeishiwa hadi chakuwaza fanya uamuzi sahihi bado mapemaCcm mmeishiwa
Toka umeanza kusema mambo ambayo hauna uhakika nayo umeingiza shingapi we poti
Au ndio wewe nabii ulikuwa anaunguruma kifuani mwa muumini.Kamuulize bibi wa bibi yako
Wewe nawe na udaku huuAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!