Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 642
- 375
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Kuna makosa kwenye script.
Ningetemea Gwajima amuombee huyo dada aliyezimia ndiyo anyoe.