Kinyozi wa kike apandisha mashetani na kuzimia baada ya kugusa kichwa cha askofu Gwajima, aombewa na kuzinduka!

Kinyozi wa kike apandisha mashetani na kuzimia baada ya kugusa kichwa cha askofu Gwajima, aombewa na kuzinduka!

Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Usitulee habari za mganga wa kienyeji kutoka misungwi...mchungaji ambaye hajengi Landis lake..
Kazi kula wasichana wa kanisani tuu
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Sasa hivi siasa za chama changu ni bac hiki Shani nia CCM ni za kishamba mpaka naona aibu. Hivi hiki ni cha kusema kweli. Mara ngapi hupangwa watu wa kuanguka kushikwa uchawi na kuombewa?
 
Huyu binti atakuwa ni yule wa "phonorotica"
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
 
Gwajima ni kiumbe muongo na mjanja mjanja sana. Haaminiki hata kwa walau 1% tu!! Yaani tangu litokee lile tukio la kujirekodi akikata mauno ya Yondo Sister, sijawahi kumuamini tena!!

Jamaa alikataa mchana kweupe kiasi cha wadau wengi kutaka kuamini eti ilikua ni photoshop!! Na wakati muvi ilikua ni ya ukweli kabisa. Gwajimaaaaaa!!! Acha kuzingua.
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!

Kwa 'Akili' ya Kawaida hili Tendo au hiki Kitendo ni lazima tu kitakuwa 'Kilipangwa' ili kuzudi 'Kumuinua' Askofu Gwajima Kisiasa na 'Kiumaarufu' tu.
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Kwa ni kutaka kusema hizo ndizo salamu kwa kamanda Halima Mdee!? Jamaa anawakokota kweli wafuasi wake kama vile CCM inavyowakokota watu wasiojielewa.
 
Wanaomshabikia huyu jamaa akili zao zitakua fyatu.
 
Mkuu Oct twende na upinzani, Zanzibar maalim, Tanganyika Lissu
 
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.

Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.

Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.

Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.

Maendeleo hayana vyama!
Ungemshauri aende Muhimbili akabidhiwe wodi hata moja tu tuone kama manesi kesho watapata muda hata wa kula kwa kuwa hakutakuwa na wagonjwa, wote watakuwa wapeponyeshwa na huyo mtu menu. Maana hospatili wanaohitaji kuziduliwa kutoka kupoteza fahamu kwa magonjwa wako wengi sana. Vinginevyo hilo ni tapeli tu ambalo tulivaa nalo barakoa wakati wa korona. Watu wa namna hii waliumbuliwa na korona hakukuwa na cha kukemea, kufufua, wala kufoka foka kama wehu, wote walipanga foleni kunawa maji yenye pombe (sanitizers). Nashangaa hadi leo kuna watu akili zao zimeshikiliwa na waongo wa kiwango hiki.
 
Back
Top Bottom