Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
They are all dumb fools idiotsMimi huwa natamani kuwaona watu wanaosali kwake jinsi walivyo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
They are all dumb fools idiotsMimi huwa natamani kuwaona watu wanaosali kwake jinsi walivyo.
Usitulee habari za mganga wa kienyeji kutoka misungwi...mchungaji ambaye hajengi Landis lake..Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Sasa hivi siasa za chama changu ni bac hiki Shani nia CCM ni za kishamba mpaka naona aibu. Hivi hiki ni cha kusema kweli. Mara ngapi hupangwa watu wa kuanguka kushikwa uchawi na kuombewa?Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Unaogopa shoti ya umeme bwashee?!Upuuzi mwingine Jo jitahidi kuupotezea tafadhali
Hapo Ufipa wengi mlisali kwa Gwajima wakati ule akiwa hapo Chadema!They are all dumb fools idiots
Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
kabisa aiseee nabii anacheza singer daaaaaaahManabii wa uongo waliongelewa kwenye Biblia ndio hawa!
Kwa ni kutaka kusema hizo ndizo salamu kwa kamanda Halima Mdee!? Jamaa anawakokota kweli wafuasi wake kama vile CCM inavyowakokota watu wasiojielewa.Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Ungemshauri aende Muhimbili akabidhiwe wodi hata moja tu tuone kama manesi kesho watapata muda hata wa kula kwa kuwa hakutakuwa na wagonjwa, wote watakuwa wapeponyeshwa na huyo mtu menu. Maana hospatili wanaohitaji kuziduliwa kutoka kupoteza fahamu kwa magonjwa wako wengi sana. Vinginevyo hilo ni tapeli tu ambalo tulivaa nalo barakoa wakati wa korona. Watu wa namna hii waliumbuliwa na korona hakukuwa na cha kukemea, kufufua, wala kufoka foka kama wehu, wote walipanga foleni kunawa maji yenye pombe (sanitizers). Nashangaa hadi leo kuna watu akili zao zimeshikiliwa na waongo wa kiwango hiki.Askofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!