Mzawa Halisi
JF-Expert Member
- Feb 25, 2009
- 642
- 375
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Kosa lake ni lipi hapo!Ivi huyu Jamaa anawezaje kuacha kuhubiri siasa kanisani ? Wakati na yy anagombea
Atakayemuamini ni mjinga kabisaUpumbavu na maigizo ya kishamba kabisa..
Still kuna watu wataamini
Hahahaaaa...... Ulikuwepo pale saluni bwashee?!Hizo story za kitoto kawape vijana pale Lumumba.
Tukimuamini atabadili shule na misikiti kuwa SundayschoolsTena waislamu wa Kawe wamamkubali zaidi askofu Gwajima kuliko Mdee Halima!
Kwan yy n mbunge ?Kosa lake ni lipi hapo!
Mtarajiwa!Kwan yy n mbunge ?
huyu bila shaka ni kondoo wake na alikuwa anataka kumla, mishe ilivyostukiwa wakajidai mapepo yamepanda! hatutasahau maigizo yake ya kumfufua mwanafunzi. huyu ni tapeli hafai kuwa hata mjumbe wa myumba kumiAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Wajinga hawaishi Labda bahari ikaukeBwashee karibu Ufufuo na uzima!