n-propanol
JF-Expert Member
- Apr 7, 2019
- 5,349
- 7,000
Umewapima kwa kutumia nini?. Acha kukurupukia usivyovijua.Manabii wa uongo waliongelewa kwenye Biblia ndio hawa!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umewapima kwa kutumia nini?. Acha kukurupukia usivyovijua.Manabii wa uongo waliongelewa kwenye Biblia ndio hawa!
Kati ya watu wooote wewe ndo mpuuz wa mwisho huelewi kitu unabwabwaja tuNabii & Mtume Gwajima katika ubora wake wa uongo,unafiki & ujinga wa waumini wanaoangamia kwa kukosa maarifa
Nakuunga mkono kabisa gwajima anatosha kwa maendeleo ya gwajimaAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Kama unahitaji msaada toa taarifaAskofu Gwajima akihubiri kanisani kwake amesema leo asubuhi wakati anakwenda hapo ibadani alipitia saluni kusafisha kichwa chake.
Alipoingia saluni na kuketi dada mmoja alimjia kwa nyuma na kujaribu kugusa kichwa chake lakini ghafla akaanza kuweweseka kama amepigwa shoti ya umeme na kupandisha mashetani na ghafla akazimia.
Askofu Gwajima baada ya kumaliza kunyoa alimuombea dada huyo naye akazinduka, askofu akamuonya kwamba asirudie tena kutaka kugusa kichwa chake.
Saluni nzima wakaanza kuimba mbunge... mbunge.... mbunge.
Maendeleo hayana vyama!
Mpuuz weweManabii wa uongo waliongelewa kwenye Biblia ndio hawa!
wewe upo ufufuo na uzima?Bwashee karibu Ufufuo na uzima!
Inakuuma sana haangamiz anaelewa anachokifanyaJamaa analiangamiza kanisa lake kwa mikono yake mwenyewe