Kinyozi wa kike apandisha mashetani na kuzimia baada ya kugusa kichwa cha askofu Gwajima, aombewa na kuzinduka!

Mbona yule mdada cheupe hakusala pale kifuani.

Majini yanaweza kukupoteza maboya ukajikuta unavimba bichwa kumbe ni mateka wao
 
Gwajima ni noma sana sema nini Gwajima anapenda watu na maendeleo yao hawamu hii lazima Gwajima uwanyooshe wale wahujumu uchumi
 
Gwajima kweli ni mtu anayewatisha sana duuuh mnahangaika kumpakazia
 
 
Ebu jiulize kwanini kwenye Biblia kulikuwa na wafalme na mawaziri wakuu usikurupuke tu kuongea vitu bila kuwa na uhakika
 
Mavi makubwa

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
 
wooow kawe wamepata mtu imara sana awamu, niamiae kawe na mimi
 
Huyu gwajima aliemlaza muumini kifo cha mende ? Heb sema vizur huyo dada alitaka kugusa kichwa gan maana Wanaume tuna vichwa viwili
 
Yeye alienda kwa ajili ya kunyoa na siyo kwa ajili ya kutoa mapepo.
 
Wewe ndiyo mateka sasa ambaye hutaki mabadiliko unampinga Gwajima kwa vitu vya uongo kwanza ujui unachokiongea
 
Mimi sio ccm lakini kawe mmetisha kinyamaaa
 
Gwajima hajaribiwi ukimjaribu unalipuliwa na dude lililo ndani yake
 
Hayo ni mapepo tu hata yakiachwa siku mbili yakaombewa yatatoka tu kwa hiyo sijaona kosa la Gwajima kunyoa kwanza ndiyo kumtoa huyo Dada mapepo.
 
Gwajima Oyeeeee
 
Gwajima ni kiongozi makini sana yawezekana angekuwa mchungaji mwingine angemaliza kunyoa angeondoka lakini yeye alivyomaliza akamuombea na Dada akawa sawa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…