Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

and 300

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2012
Posts
26,398
Reaction score
36,406
Hiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza utu bila kupenda
 

Attachments

  • 118728881_187899299398410_6349141207665290454_n.jpg
    118728881_187899299398410_6349141207665290454_n.jpg
    85.5 KB · Views: 51
Kuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Huyo atakuwa ni mlaji mzuri wa mikate/sponji(maana bado sijaona mikate halisi zaidi ya masponji tu yaliyo wekewa amira na ngano) kisha anasukumiza ma kilevi kikali lazima akonde
 
Back
Top Bottom