screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Mimi huwa najidunga navyo mara mojamoja bajeti ya Vant ikigomaSijui wanywaji wanavichukuliaje lakini vinamuonekano kama wa sumu unatisha.
Na kile wanaita kisungura.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi huwa najidunga navyo mara mojamoja bajeti ya Vant ikigomaSijui wanywaji wanavichukuliaje lakini vinamuonekano kama wa sumu unatisha.
Na kile wanaita kisungura.
Chipo kidali MENDEHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza utu bila kupenda
Achana nao, ile sio pombe bali ni madawa ya kulevya, kamoja tu unazimaHuo mzigo bado upo?