Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Smart GIN inakuja kwa kasi mno!Naona sahv double kik kapata mpinzani mpya
Ova
Hiyo picha ndio vijana wenyewe auHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza utu bila kupenda
Barimi ina 7Kinywaji kikishakuwa na alcohol zaidi ya 7% hakiwezi kuitwa bia tena
Hakuna tamaa Bali grade ya ustahimilivu inapanda.Inasikitisha Sana vijana wabavyoharibiwa kwa tamaa ya pombe
Hiyo aina ya pombe ni beer, wine ama spirit?Hiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza utu bila kupenda
Sio kweliHiyo hata ukila vizuri hutoboi!!kinywaji gani cha bei nafuu ambacho ukinywa chupa 3, nadhani ni za 200mls, unakufa!!
Kwa hali ilipofikia kwa sasa ni lazima kiwanda hicho waangalie upya utengenezaji wake, na kisha wakibadirishe jina kabisa!!kwa sasa mtaani kinaogopwa sana, wamehamia kwenye smart gin.
Hicho wewe kula kiti moto kilo 2,na supu ya kongoro/mkia mzima juu, ukimaliza vi 3, baba jeni bai bai!!
ChaiKuna mwamba alikunywa vitatu akalala ijumaa akaamka jumatatu
ChaiHiki kinywaji pamoja na ile BINGWA viliwahi kumuua anko wangu mmoja uko mkoani,
Alimix DOUBLE KICK+ BINGWA akalewa na akavua nguo zote,
Alienda kujitumbukiza mtoni kupambana na mamba aliekua anakula ngombe wakivuka mto.
Kilichomkuta Aling'atwa kiuno,
Akaishia kufariki kwa majeraha makali miez miwili baadae[emoji2 cc
Balimi ya wapi?Barimi ina 7
[emoji38][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Na mimi sasa naenda mwezi wa pili sijagusa, nilikuwa nikiangalia TV hata kama ni Channel ya kiingereza nasikia wanaongea kiswahili. Picha naona kama ni vitu vya kutisha sana mpaka mwili unasisimka, nikilala naona vitu vya ajabu inabidi nikeshe hadi asubuhi. Ikabidi nitandike daruga kwanza ili nijitafakari upya
Kuna wanaume hawa hapaView attachment 2509292