Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Juzi nkaenda dukani kwa Mangi kunywa soda basi vile soda sukari sana nkataka kumix kidogo na vant, akaniambia hamna labda animixie na spirit inayoitwa bongo land, nikamwambia anisamehe bure nisijepofua macho tu maana hivi vinywaji vishakuwa vingi mitaani hata haijulikani vinatokea wap
bongo don.png
 
Huyo anarafiki yake anair
Kuna hii nyingine “Shimhwa” (Sijui ndivyo inavyoandikwa) inawaumiza sana vijana pasipo wao kujua.t

Kuna hii nyingine “Shimhwa” (Sijui ndivyo inavyoandikwa) inawaumiza sana vijana pasipo wao kujua.
Huyo anarafiki yake anaitwa coffee .Kuna mwamba alimtandika kichupa kimoja full kupiga chafya.
 
Hiki kinywaji pamoja na ile BINGWA viliwahi kumuua anko wangu mmoja uko mkoani,

Alimix DOUBLE KICK+ BINGWA akalewa na akavua nguo zote,
Alienda kujitumbukiza mtoni kupambana na mamba aliekua anakula ngombe wakivuka mto.

Kilichomkuta Aling'atwa kiuno,
Akaishia kufariki kwa majeraha makali miez miwili baadae[emoji26]
[emoji16][emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji2]akajiona stering
 
Hiyo kitu ni hatari sana kwa afya, nimewahi fika kwenye kipub ninachopigaga gambe, wanasema K-vant na Konyagi villisha ndo wameagizia. Nikamwambia dogo anipe hiyo double Kick. Sema dogo anamfahamu wife na si mbali sana home (2.5 Km), wife kaitwa kaja kunichukua, imefika asubuhi ndio fahamu zinarudi na hapo nilikuwa nimepiga kama nusu na robo ya kitimoto na ugali wa wanaume wa mikoani. Sijawahi irudia tena. Yaani kina alcohol ya kawaida lakini kinaweza kukutoa roho, siku mbili hali si hali, tapika sana msosi haupandi tena, wakati nina uwezo wa kumaliza K-vant kubwa
Pole sana hii kitu ilimuachisha pombe uncle wangu mmja alikua sugu kashindikana siku moja walikua wawili na mlevi mwenzie waka battle nani mkali wa hizo mambo kilicho tokea yule mlevi nwenzake alidondoka hapo hapo aka kata moto uncle wangu akapoteza uwezo wa kuona almost week nzima anaona ukungu alivyopona mpaka leo hagusi tena pombe yoyote
 
Pole sana hii kitu ilimuachisha pombe uncle wangu mmja alikua sugu kashindikana siku moja walikua wawili na mlevi mwenzie waka battle nani mkali wa hizo mambo kilicho tokea yule mlevi nwenzake alidondoka hapo hapo aka kata moto uncle wangu akapoteza uwezo wa kuona almost week nzima anaona ukungu alivyopona mpaka leo hagusi tena pombe yoyote
Daahh!!Mungu ana njia nyingi za kufundisha watu
 
Hizi mavitu zinaongeza mashoga sana. Kijana anabugia tu kumbe wenzake wanamlia timing.
 
Back
Top Bottom