Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanapima hadi na kijiko 😂😂😂😂Kwa kijiko, imekuwa Arusha?
Uuzaji wa pombe kali Arusha sijawahi kuona sehemu nyingine!
Kick inatisha!Wanapima hadi na kijiko 😂😂😂😂
Kama unapewa paracetamol vile
Hahahahah .....hapohapo Serikali inakuambia mwaka huu wa fedha kipao mbele ni afya. Kumbe afya yenyewe mojawapo ni kama hii?Dunia inazungumzia namna ya kusaidia Ukraine sisi tunatibu watu waliopasuliwa Rinda kwa pombe ya 2,000
Kaacha Mke?Juzi kuna jamaa kaondoka alipiga dabo kiki akachanganya na valiam
Wanywaji wa DK wapelekwe UrusiHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza marinda bila kupenda
Na watoto 2Kaacha Mke?
Wife ana Shundu?Na watoto 2
😂😂🤣😂🤣😂🤣🤣😳😳😳🤔🤔🤔Hiki kinywaji pamoja na ile BINGWA viliwahi kumuua anko wangu mmoja uko mkoani,
Alimix DOUBLE KICK+ BINGWA akalewa na akavua nguo zote,
Alienda kujitumbukiza mtoni kupambana na mamba aliekua anakula ngombe wakivuka mto.
Kilichomkuta Aling'atwa kiuno,
Akaishia kufariki kwa majeraha makali miez miwili baadae[emoji26]
Mi mwnye nilisimuliwa hivyo na waliokua wanamuuguza,[emoji23][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji15][emoji15][emoji15][emoji848][emoji848][emoji848]
Mkuu stori ya kweli hii!!?
Hiyo kitu ni hatari sana kwa afya, nimewahi fika kwenye kipub ninachopigaga gambe, wanasema K-vant na Konyagi villisha ndo wameagizia. Nikamwambia dogo anipe hiyo double Kick. Sema dogo anamfahamu wife na si mbali sana home (2.5 Km), wife kaitwa kaja kunichukua, imefika asubuhi ndio fahamu zinarudi na hapo nilikuwa nimepiga kama nusu na robo ya kitimoto na ugali wa wanaume wa mikoani. Sijawahi irudia tena. Yaani kina alcohol ya kawaida lakini kinaweza kukutoa roho, siku mbili hali si hali, tapika sana msosi haupandi tena, wakati nina uwezo wa kumaliza K-vant kubwaKuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
Mkuu master haingii kwa Double, nimeinywa majuzi tu hapa nikiwa Mbeya na nikawa poa kabisa. Ila double kick 3 almanusura zinitoe rohoHivi mnaijua master nyie?