Merchante
JF-Expert Member
- May 9, 2017
- 1,365
- 2,842
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaan kichupa cha 200mls lazima uzime baadhi ya walevi wamepoteza ubikira
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23]Yaan kichupa cha 200mls lazima uzime baadhi ya walevi wamepoteza ubikira
Ulitaka kuaga mashindanoNakwambia nakunywaga jipaba peke yanguu nalewa ndio
Ila kuna siku nilipiga dabo kiki chupa moja ile chaap kwa haraka yan chini ya nusu saa nishakamaliza asee sikuamini nilijua nakata moto...
Sent from my TA-1004 using JamiiForums mobile app
Alitaka kumaliza mwendo RIPUlitaka kuaga mashindano
Arusha pombe ni jangaKwa kijiko, imekuwa Arusha?
Uuzaji wa pombe kali Arusha sijawahi kuona sehemu nyingine!
Ile double kick inakitu cha pekee sisi hatukijui
Rivella
Master
Zed
Azura
Diamond
Faru john
Hazina tabia kama za kick kabisaa
KUFA kufaanaWanaita kemko fomla mkuu 😁😁 inaonekana kemko fomla ake ina balansiwa na katalyat za kutosha na namba nyingi nyingi pemben.
[emoji1][emoji28][emoji1787]Kwa eneo nilipo wanywaji wamehamia kwenye smart gin, wanasema ukinywa double kick ikifika asubuhi unasikia harufu ya nyama unapohema yaani hapo ujue maini yameiva huko tumboni.
kinywaji chenyewe kina itwa double kick....Double kick a.k.a portable cane spirit ukimaliza vile vichupa viwili alafu utembee juani lazima damu zitoke puani.
Mikoani uko zilikua nyingi Sana, ukienda mpakan mwa zambia na Malawi zipo mpk leoMkuu Double kick inaingia sokoni Bingwa ilikuwa haipo tena.
Sahii kabisa,Nadhani kuna mikoa bia bingwa bado ipo
Ile percentage nadhan imeandikwa kisiasa, maana bapa la konyagi Lina 45% tunakunywa bila shida.Mzigo alcohol itakuwa 100%
Hii chai ongeza sukari basi....Hiki kinywaji pamoja na ile BINGWA viliwahi kumuua anko wangu mmoja uko mkoani,
Alimix DOUBLE KICK+ BINGWA akalewa na akavua nguo zote,
Alienda kujitumbukiza mtoni kupambana na mamba aliekua anakula ngombe wakivuka mto.
Kilichomkuta Aling'atwa kiuno,
Akaishia kufariki kwa majeraha makali miez miwili baadae[emoji26]
Konyagi ni 35% alcohol kama ilivyo K Vant na Bongo DonIle percentage nadhan imeandikwa kisiasa, maana bapa la konyagi Lina 45% tunakunywa bila shida.
Iweje tatizo iwe Hii yenye 43% ?
Chai iko wapi mkuu [emoji4]Hii chai ongeza sukari basi....
Nimeanza kunywa hii mizigo kuanzia mwaka 1997 nilipoamua kuachana rasmi na mpenzi wangu wa zamani, Safari Lager.Chai iko wapi mkuu [emoji4]
Au ujawai kunywa Hii kitu