Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kula pombe kula misomi kunywa maji meng kula matunda nazan kosa sio la pombe kosa ni la hao vijana wanaoitaka pombe wakati uwezo wao ni wa kunywa soda sasa inakua shida
Mnywa pombe ambane anaitumia na anaiweza kununua na kugalamia hawezi choka afya
Misomi ndio nini mkuu???
 
Haya mapombe makali co kabsa kuna faza uku mtaani kwetu kagida double kick mixer k can't mzigo ukakubali akasahau Hadi njia ya geto kwake akazima
Dah mahuni wakajisevia dingi anastuka asubui anakuta kapasuliwa mayai
Kwa fedheha akaamua kujitoa uhai
Ina Maana walimla choo??!;!
 
Double kick Ni ya ukweli kinyama ukikazia mbili kabla ya mbishe unakaa level" nanukuu Kuna chalii wa rombo aliniambia
 
kuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau

jmoc nikamstua twende viwanja ,tumefika tukaagiza kvant kubwa tukawa tunajipigia kimtindo hadi ikaisha hakuna aliyelewa,bas bana nikaagiza huyu mdudu chupa mbili kila mmoja akapiga yake.

ile tumemaliza nashangaa madam analia tuu kuuliz vipi hajibu anadai kiti kinazunguka,nikamchukua nikamtoa pale hadi lodge kuchakata kumbe stim zimemzidia kazima nikaanza FIRST AID

sitosahau afu (alijikojolea)
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]nimecheka kifala
 
Yani mtu anakunywa huku anakunja sura ipo siku sura itan'gan'gania hapohapo ndio atajua ajui, mi nahisi haya mapombe yakuzuka yanabaraka toka ikulu kabisa haiwezekani vijana wanaangamia hv serikali inaangalia tu.
 
Back
Top Bottom