Bushmamy
JF-Expert Member
- Aug 18, 2019
- 9,140
- 15,963
Hii inatakiwa iitwe mauaji alcohol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah kitoko weka mbali na watrotro, sio muchezoKumbe bora na shimha na kitoko
Mateso yote hayo ili upate nn?
Huku mikoani kwetu mbona bingwa ipo ya kumwaga.Nadhani kuna mikoa bia bingwa bado ipo
imeandikwa atafufuka siku ya tatu 🤣😂🤣Kuna mwamba alikunywa vitatu akalala ijumaa akaamka jumatatu
😂🤣🤣Double kick nishai sana niliijaribu .Wiki nzima nilikua naona ukungu tu.Kaeni nayo mbali.
Nmekunywa vitatu sijazima Jana inategemea na kichwaHiki kinywaji ukiwa na 2,000 TZS unazima mazima. Vijana mtaani wanazoa kinywaji hiki kwa kushindana.
NB: Vijana wanapoteza marinda bila kupenda
Sema akyaa MunguNmekunywa vitatu sijazima Jana inategemea na kichwa
Wallah wabilah wasuluSema akyaa Mungu
jamaa umehoji kwa masikitiko makubwa[emoji3][emoji3]Sema akyaa Mungu
Unywe double kick 3 hujazima basi sawaWallah wabilah wasulu
Unywe kick 3 afu usilewe lazima ana undugu na pierre liquidjamaa umehoji kwa masikitiko makubwa[emoji3][emoji3]
Mnavichaa watu wa humuBila picha au video ya huyo jamaa yako ...tutajua we muongo. Weka hapa tumwone.
Maafisa afya wapo, maafisa biashara wapo, watendaji mitaa wapo, lakini biashara ya pombe kali za kupima madukani imeenea nchi nzima.Dukani kwa Mangi wanauza kwa kijiko (table spoon) = 200/= TZS
Duh DKK ni balaa kumbe😀Kuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
SpiritHiki kinywaji sijui wanaweka nn?
Duh hii lazma utoe HARUFU