Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kiroba kilichochangamka...Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
Endeleeni kunywa, tutakaowazika ni sisi sisi....[emoji1][emoji1]Nyie ndo wachawi wenyewe nyie... We jamaa fala sana. Mchawi mwanga,muuaji shetani kabisa.... Kwa nini unapenda kuharibu starehe za wenzio? Mliishambulia beer ya The Kick .tukanyamaza, mkaja ishambulia gongo tukanyamaza. Sasa mnaanza ishambulia double kick. This time hatunyamazi. Na tutaonana wabaya kabisa ....muache roho mbaya. Hunilishi hunivishi.... Sisi tunakunywa hatuchagui hatubagui atakayetuzika hatumjui.
Sio kwa sasa mkuu!!wote wamehamia kwenye smart Gin!!Tembelea vijiwe vya bajaji uone double kick zinavyotembezwa
Kam yangu siku moja demu kaja kunitembelee kanikuta natumia nyagi huwa sipendi kukozekana kvant kubwa au nyagi kubwa geto bas bhana napiga mdogo mdogo akanimbia mbna unakunywa mdgo mdgo akashika glass akabugia mdomo nusu glass HV duh nikaona duh kumbe huyu mtot anamudu pombe Kali nakamuongezea Tena nusu glass akakata yote duh nilibadki naduwaa siku zote sijawai kujuwa Kama anatumia basi baada kama dkk tano HV nilianza kuona magizo yake Mara afungulie radio kwa saut kubwa Mara aongee Kam mlevi .nikasema asinichezee huyu leo antanipa zotee[emoji3] uchakataji niliyompa awez sahau n[emoji2956]aliitafunwa haswaaakuna manzi mmoja ni ticha tulitokea kufahamiana tu ,sasa katika kupiga piga story akanambia anakunywaga hizi pombe kali nikamjibu na mm pia ni mdau
jmoc nikamstua twende viwanja ,tumefika tukaagiza kvant kubwa tukawa tunajipigia kimtindo hadi ikaisha hakuna aliyelewa,bas bana nikaagiza huyu mdudu chupa mbili kila mmoja akapiga yake.
ile tumemaliza nashangaa madam analia tuu kuuliz vipi hajibu anadai kiti kinazunguka,nikamchukua nikamtoa pale hadi lodge kuchakata kumbe stim zimemzidia kazima nikaanza FIRST AID
sitosahau afu (alijikojolea)
Ahahaha [emoji23][emoji23][emoji23]Hiki kinywaji pamoja na ile BINGWA viliwahi kumuua anko wangu mmoja uko mkoani,
Alimix DOUBLE KICK+ BINGWA akalewa na akavua nguo zote,
Alienda kujitumbukiza mtoni kupambana na mamba aliekua anakula ngombe wakivuka mto.
Kilichomkuta Aling'atwa kiuno,
Akaishia kufariki kwa majeraha makali miez miwili baadae[emoji26]
Hata siku ukifa tutakunywa bia, bia walau effect yake ni ndogo maana zina alcohol ya chini.Gadner kwenye page yake instagram nimeona anahamasisha vijana wapike supu na michemsho kwa kutumia Serengeti Premium Lager...hii imekaaje?
Acha uoga wee hzo bia siyo ishu Ni rais San bia kufloat na usijue kuwa Ni mbovu tumia angalau nyagi na kvantHata siku ukifa tutakunywa bia, bia walau effect yake ni ndogo maana zina alcohol ya chini.
Mimi spirits na gins situmii kamwe
Kwa kijiko, imekuwa Arusha?Dukani kwa Mangi wanauza kwa kijiko (table spoon) = 200/= TZS
Hapana kwakweli kwanza mimi si mnywaj hata hizo bia nakunywa chache, nikitumia spirits, gins, whisky kesho yake hata nikinywa maji siyahisi kama yanapita koonAcha uoga wee hzo bia siyo ishu Ni rais San bia kufloat na usijue kuwa Ni mbovu tumia angalau nyagi na kvant
Kwa alcohol percentage hiyo, hata gongo ikasome kudadeki!Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
Wahuni sio watu😅[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mzigo alcohol itakuwa 100%Ile kitu nina wasi wasi hata hicho kipimo wanachosema alcohol ni 43% ni uongo
Bingwa mikoa ya mbeya iringa njombe ruvuma songwe rukwa zipo za kutosha zinauzwa mpk clubNadhani kuna mikoa bia bingwa bado ipo