Mbeya Girl
JF-Expert Member
- Jan 29, 2016
- 298
- 627
😁😁 Na kweliUtakuwa huijui MASTER wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😁😁 Na kweliUtakuwa huijui MASTER wewe
Master haimfikii double kick..hakuna pombe ya viplastick inayomfikia double kick hata nusu...double kick ni habari nyingine aiseeeUtakuwa huijui MASTER wewe
Huyo alisafiri kwenda kwa muumba sema karudishwa baada ya kuona anahitaji kutubuKuna mwamba alikunywa vitatu akalala ijumaa akaamka jumatatu
Ukinywa vitatu tunakuzika huyo mwamba sijui kapona vipi inabidi atubu tuKuna mwamba alikunywa vitatu akalala ijumaa akaamka jumatatu
Na double kick unatumia mkuu?Double kick ni kali kuliko gongo. Nasema hivyo kwa sababu hata gongo nimekunywa.
Hata mie nasemaga hvi double kick sidhani kama ina alcohol 43 ile...Master haimfikii double kick..hakuna pombe ya viplastick inayomfikia double kick hata nusu...double kick ni habari nyingine aiseee
Kwanza zile alcohol walizoandika sio za kweli nahis ina 100 ilee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Mbona kipo nyumbani ,au unajaribu kupata double kick.Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
Nakunywa bia safari ila ilikuwa nikiwa na ukame napiga kick, ila nilishaacha pombe nyeupe zote. Nakunywa pombe inayokaa kwenye friji.Na double kick unatumia mkuu?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hii misamiati wakuu daahhapo ushapigwa diwali safi ya 'ntu' 3, sphincter yote pwaa
Ukinywa Double Kick wanashauri uvae kabisa Shanga kiunoniMaster haimfikii double kick..hakuna pombe ya viplastick inayomfikia double kick hata nusu...double kick ni habari nyingine aiseee
Kwanza zile alcohol walizoandika sio za kweli nahis ina 100 ilee[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
We jamaa phala sana[emoji28][emoji28][emoji28]Ukinywa Double Kick wanashauri uvae kabisa Shanga kiunoni
watumie pia na smart GIN watanishukuru baadaeKuleni vizuri kama nyama choma,supu mzito asubuhi..ndio mnywe hiyo kitu...mtu unashindia miogo ndio waitafuta double kick..!lazima...kick!
Umeichanganya na Bongo Don. Vinywaji viwili tofauti kabisaDon - Jina lake tu la kimafia mafia!