Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kinywaji "Double Kick" kinamaliza vijana

Kuna vilevi vina % kubwa zaidi ya hiki?View attachment 2143718
96%
index(3).jpg
 
Tatizo hizo spirits zote inatakiwa uchanganye na club soda, tonic, limau na barafu... Kama vile unavyokunywa whiskey sasa mtu anaipiga kavu unategemea nini hapo??
Mkuu sio kwa hiyo double kick!!wewe changanya uchanganyavyo lakini zikifika 3, ukipona wewe kidume!!ukiona pombe hata vijana wa bodaboda wanaiogopa, ujue ni hatari.
 
Back
Top Bottom