Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
wanakupakia na mwandende kabisa, wana score za kutosha , na vile hujitambuiDivi linabaki nje
Una bahati. Tunavyoongea Ungekua Kidole juu tayariJuzi nkaenda dukani kwa Mangi kunywa soda basi vile soda sukari sana nkataka kumix kidogo na vant, akaniambia hamna labda animixie na spirit inayoitwa bongo land, nikamwambia anisamehe bure nisijepofua macho tu maana hivi vinywaji vishakuwa vingi mitaani hata haijulikani vinatokea wap
Haaaaa balaaaUna bahati. Tunavyoongea Ungekua Kidole juu tayari
Bila picha au video ya huyo jamaa yako ...tutajua we muongo. Weka hapa tumwone.Kuna jamaa ni dereva wa gari la kusambaza mikate anaishi hapa mtaani yani anaiba mikate anapeleka dukani kwa malipo ya double kick, yan amekonda kama mzuka nusura atafanana panya
Neno langu sio sheria mkuuBila picha au video ya huyo jamaa yako ...tutajua we muongo. Weka hapa tumwone.
Hahahaaaa unakunywa kinywaji kina alcohol 35 - 40 % halafu huna uwezo wa kupata supu ya mkia au kongoro au mishikaki kumi, hapo lazima uzime mazima [emoji23][emoji23][emoji23]MLIANZA VIROBA WAKATOA SASA MNAANZA KUIPIGA VITA DOUBLE KICK
TATIZO NI POMBE AU HAO WANAKUNYWA HAWALI VIZURI??
Tatizo hizo spirits zote inatakiwa uchanganye na club soda, tonic, limau na barafu... Kama vile unavyokunywa whiskey sasa mtu anaipiga kavu unategemea nini hapo??hio ni petroli mkuu ukiwasha inawaka watu wanakunywa moto
KifoTatizo hizo spirits zote inatakiwa uchanganye na club soda, tonic, limau na barafu... Kama vile unavyokunywa whiskey sasa mtu anaipiga kavu unategemea nini hapo??
Siyo bongo land ni bongo Don mkuuu hahahaaaa... Ina alcohol 35 % kama nyagi au Kvant....Juzi nkaenda dukani kwa Mangi kunywa soda basi vile soda sukari sana nkataka kumix kidogo na vant, akaniambia hamna labda animixie na spirit inayoitwa bongo land, nikamwambia anisamehe bure nisijepofua macho tu maana hivi vinywaji vishakuwa vingi mitaani hata haijulikani vinatokea wap
Hiii hapa...Juzi nkaenda dukani kwa Mangi kunywa soda basi vile soda sukari sana nkataka kumix kidogo na vant, akaniambia hamna labda animixie na spirit inayoitwa bongo land, nikamwambia anisamehe bure nisijepofua macho tu maana hivi vinywaji vishakuwa vingi mitaani hata haijulikani vinatokea wap