Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Niliipotezea ili nisimkere."Kinyaji" We masai umepigaje hapo!
hadi meitamani 😋😋napenda Ceres Apple
Ni tamu, nikinywa hasa ikiwa ya baridi kidogo inapita vyema kabisa kooni
[emoji3]Niliipotezea ili nisimkere.
Kwani kuna shida mkuu?Ilikuwa utani tu.Hiyo ni typo ndogo tu; watu wazima huwa haongelei typos, bali tunaongelea mada
hahah hata mada yenyewe imekaa kichit-chatHiyo ni typo ndogo tu; watu wazima huwa haongelei typos, bali tunaongelea mada
sawa bosi tuko pamojaElewa kuwa kuna vinywaji kama tangawizi ni tiba. Usibabaishwe na neno "kinywaji".
Haya mkuu !! Basi mimi kinyaji changu ni gongo.Hiyo ni typo ndogo tu; watu wazima huwa haongelei typos, bali tunaongelea mada